Mbowe amefanya kosa la kiufundi kwa maelezo yake ni kwamba aliivamiwa na wapenzi wanachama wa CDM wakitaka agombee nafasi ya Mwenyekiti CDM. Kinyume na maelezo mzee mwanachama kutoka Bagamoyo anasema ameitkia wito wa Mwenyekiti. Hizi kauli kinzani zinamtie Mbowe doa.
Tundu Antipas Lissu ni Ishara na kielelezo halisi cha mabadiliko. Katika siasa zake amekuwa na muelekeo unaoeleweka (CONSISTENCY FOR THE LAST 20 YEARS).
Lissu sio mungo, sio mlafi, anachukia rushwa, hana bei, na anapenda mabadiliko.
Taifa kama taifa, mfumo kama mfumo hawa ndio viongozi wa...
Tunawapa pole wafanyakazi wa TRA waliopata changamoto hii wakiwa wanatimiza majukumu yao ya ujenzi wataifa.
Hili sakata la utekaji ambalo watu wanapotezwa na kuumizwa, kujeruhiwa, na kuuwawa imewajengea wananchi hofu kubwa sana. Tulishukuru jeshi la polisi kwa kusimamia suala la Masawe vizuri...
Baba alikuwa mvuvi mimi nikarizishwa uvuvi nikamrizisha mwanangu uvuvi utagemea nini kwenye shughuli zangu za uvuvi wa asili wakurizishana? Hasa pale mimi na wadogo zangu tuliposhindwa kutoboa kwenye shule za kata? Jibu twende tukavue hata kama mawimbi ni hatari mradi tule tushibe!
Could be a possible and long lasting solution to commercial sex work but in our context it will raise a lot of moral questions! Hili halihitaji kamatakamata bali mjadala wa wazi ili kupata suluhisho ya kudumu!
Uko sahihi 100%. Sio mshabiki wake lakini ukweli utabaki kuwa ukweli. Prof. Kabudi angekua waziri basi kidogo contest ingekuwa ngumu kidogo ila January hana mshindani!. Nafuatilia hotuba zake na mazungumzo yake ya kidoplomasia!
1. Hili linasikitisha sana: utamwitaje mtu dada poa? Je unatumia vigezo gani kuwabatiza watu sifa hii? Je hili linaongeza thamani kiutendaji na kisiasa? Je bila kuangalia chimbuko la tatizo lenyewe inawezekana kupatikana suluhisho endelevu la jambo hili? Tuna uchafu mwingi tu na maovu mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.