Ama kweli mapenzi hayana mwenyewe.... pole kwa masahibu, ni jambo la kawaida kuachana hasa ktk maisha haya ambayo uaminifu ni kitendawili cha mahusiano! Mwache aondoke, hakuwa chaguo lako.... vuta subra na utapata mbadala wake, chaguo lako sahihi!!!!
Mkuu! Pole kwa taharuki... ni wazi hupendezwi na tabia pamoja na mwenendo wa mkeo ila sio sababu ya kumwacha! Jukumu la kuwatunza na kuwajali wazazi wako ni lako mwenyewe.... mkeo atafanya kwa nafasi yake na kwa utashi wake na sio lazima mkuu vile vile kwako kwa upande wa wazazi wake! Lkn...
Ajabu ni kama vile hatumuelewi.... sijui mwisho wake ila kwa kuwa anaamini dhamira na nia yake ni njema kwa taifa, asikate tamaa na ipo siku taifa litamuelewa!!!
Hongera sana mkuu japo hamtakuwa mmetendea haki kama akitoka apo salama na mzima.... walau mkateni break, mkateni mikono au mponde vidole au mtoboeni macho!!!!
Ulikuwa sahihi kutomsamehe na kumpotezea lkn hasira zako zilikuponza..... jifunze kuwa jasiri na msimamo na wakati mwingine usifanye maamuzi usiyoyamudu maana majuto yako leo ni matokeo ya udhaifu wako kumsusa huyo mwanamke ili khali moyoni ujamtoa!!!!
Aka kamdudu ni kamzozo lkn reaction yake si kwa watu wote... sisi uku tunakaishi nako na hana madhara yeyote!!! Ila nilishuhudia kimbembe chake nilipokuwa Moshi Tech.... aiseeeh watu walichakazwa sana na alikuwa akipendelea sehemu nyeti, mfano macho, masikio, shingo nk!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.