Recent content by SONGEAKWETU

  1. S

    Nauza nyumba(unfinished ghorofa moja)kwa bei ya kutupa

    Wana Jukwaa Habarini Nimekuwa nikipambana kwa muda wa miezi miwili sasa kumuuguza Bi Mkubwa Muhimbili. Juzi nimepewa Rufaa nimpeleke India kwa matibabu zaidi. Nikiangalia mfukoni hali haijakaa vizuri. Nikikumbuka jinsi alivyohangaikia kunisomesha, nimeona ni vema nipambane nimpeleke huko India...
  2. S

    Nauza nyumba ya (unfinished ghorofa moja) kwa bei ya kutupa

    Wana Jukwaa Habarini Nimekuwa nikipambana kwa muda wa miezi miwili sasa kumuuguza Bi Mkubwa Muhimbili. Juzi nimepewa Rufaa nimpeleke India kwa matibabu zaidi. Nikiangalia mfukoni hali haijakaa vizuri. Nikikumbuka jinsi alivyohangaikia kunisomesha, nimeona ni vema nipambane nimpeleke huko India...
  3. S

    Nauza plot yangu kwa bei poa

    Mmasai Asilia nami nipo Madale,kwa kuwa hujaweka namba ya simu basi nicheki ktk 0786 294545 nikione leo then tuongee biashara
  4. S

    Gari Canter tonne 3 inauzwa

    Wadau Habari, Nauza gari langu pichani. Ni Canter Tonne 3. Bei ni nafuu sana. Mhitaji serious tuwasiliane kwa namba 0654 998326 Karibuni
  5. S

    Gari canter tonne 3 inauzwa

    Wadau Habari Nauza gari langu pichani. Ni Canter Tonne 3 Bei ni nafuu sana Mhitaji serious tuwasiliane kwa Namba 0654 998326 Karibuni
  6. S

    Nyumba (Unfinished) Inauzwa

    Ndugu Sistah hapo juu sijashindwa kumalizia.Ukiangalia hapo kama una utaalamu na mambo ya Ujenzi almost Asilimia 95 limeshakamilika mpaka kwenye kuezeka.Nikiweka Ml.10 tu hapo naezeka na kuezeka maana mimi mbao za ujenzi wa nyumba zangu huwa nanunua Mafinga hivyo nikiagiza za Ml.1.8 za 2*2 na...
  7. S

    Nyumba (Unfinished) Inauzwa

    Wandugu Nauza Nyumba ambayo haijakamilika pichani Ipo Madale,Dar es Salaam Eneo la Kiwanja ni Square Meter 1103,ina Vyumba 4 vinavyojitegemea kwa Bafu na Vyoo vya Ndani,Study Room,VIP Lounge,Sitting Room,Dinning nk.Umeme ni nguzo moja tu kuvuta na process zimeshafanyika. Ina Hati Bei ni...
  8. S

    Unfinished House inauzwa

    Wadau Kuelekea Oktoba 25,nauza Unfinished House yangu pichani. Ipo Madale,Dar es Salaam. Ina Hati na Eneo la Uwanja ni Square Meter 1103. Ina Vyumba 4 vyote Master,VIP Lounge,Study Room nk. Bei ni Ml.130 Karibuni 0654 99 83 26
  9. S

    Trafiki Polisi wa Ki-Nigeria

    Mchekeshaji wa Uganda huyo Kansiime
  10. S

    Simba vs ura

    ' live
  11. S

    Ghorofa halijakamilika linauzwa, bei maelewano

    Salaam wana JF Nauza Nyumba pichani. Ipo Madale,Dar es Salaam. Ukubwa wa Kiwanja ni Square Meter 1103. Ian Hati. Bei maelewano Karibuni kwa maelezo zaidi 0654 99 83 26
  12. S

    Nauza mkaa safi na mzito kwa bei nafuu

    Wandugu salaam Nina Ekari zangu kadhaa za Ardhi mkoani Morogoro. Nimeamua kuziendeleza kwa kuanza kilimo hivyo wakati naandaa shamba niliamua kutengeneza Mkaa kutokana na magogo niliyoyatoa shambani. Nimepata magunia 545 ya Mkaa. Kwa kutambua kuwa Mkaa ni bidhaa inayohitajika sana hapa Dar es...
  13. S

    Mkaa Mzuri, Mzito na Safi unapatikana kwa Bei ya Jumla

    Wandugu Habari Nina Ekari kadhaa za Ardhi Mkoani Morogoro. Latika kuzisafisha ili nianze kulima nimeamua kuitengeneza Mkaa kwani natambua kuwa ni bidhaa adimu sana hivyo nikachungulia Fursa.Baada ya kushughulikia kuandaa nimepata magunia 634 ya Mkaa Safi,Mzito na Mzuri. Kwa anayehitaji kwa bei...
  14. S

    Songea boys

    Duuuh Box 2,nami nimekumbuka mbali.Nilihamia pale mwaka 1994 nikiwa form one na kumalizea 1997. RIP Maps. Hutu Maps aliwahi kunipa adhabu ya fimbo na kung'oa visiki kisa eti kwa nini nimenyoa upara kama huu anaonyoaga January Makamba.Mpaka leo nikikumbuka kama kunyoa upara ni kosa nashindwa...
  15. S

    Nauza Nyumba yenye Ghorofa moja (Haijakamilika)

    Wandugu Salaam kwenu, Nimepata dharula ya ghafla ambayo ili kuitatua inanilazimu kuuza Nyumba yangu moja ninayoendelea kuijenga. Ramani ya Nyumba ni Ghorofa moja na nimeijenga mpaka kwenye Renter ya Ghorofa (Samahani nimeshindwa ku-attach picha Server imekataa ku-download) hivyo bado kuezeka...
Back
Top Bottom