Recent content by Songaleli

  1. Songaleli

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Africa inaweza kupunguza zaidi tatizo la Ajira kwa Watoto wa Kiafrica kupitia Ubia | Happy frica Day 2026

    Huyu bwana angeingizwa kwenye Baraza la Mawaziri nahisi angeisadia sana Tanzania japo muda Bado upo
  2. Songaleli

    JamiiForums Tanzania KAFULILA: Happy Wauguzi day, Kwa mujibu wa WHO, uwiano unaopendekezwa ni wauguzi 45 kwa kila watu 10,000, huku Afrika ikiwa ni 18 kwa watu 10,000

    Point iko hapa Heri ya Siku ya Wauguzi Duniani. Changamoto ni nyingi lakini tumaini lipo kadri tunavyoendelea kujenga na kufungua uchumi wetu,” alisisitiza.
  3. Songaleli

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Sasa PPP Tanzania tumefikisha miradi ya TZS 11 TRL na 80% ni ya awamu ya 6

    Sasa hiyo miradi inaandikwa PPP? HATERS MNATESEKA SANA NA KASI YA SAMIA NA KAFULILA.
  4. Songaleli

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni ngumu kumfukuza mtumishi wa Umma Mzembe kazini | Salamu za Meimosi kutoka kwa David Kafulila

    Sio wanaoitwa wazembe ni wazembe kweli ufanyike UTAFITI zaidi
  5. Songaleli

    JamiiForums Tanzania Yohana Msita: TAKUKURU wanaopanga majengo wanapata wakati mgumu pale waliowapangisha wanapofanya makosa

    Sio tu TAKUKURU huwezi kumzingua baba mwenye nyumba kama unajipenda
  6. Songaleli

    JamiiForums Tanzania Yohana Msita: Sasa tutumie tehama kuajiri | si sawa watahiniwa kubebelea vyeti na vitambulisho kwenye usaili

    Nimefurahishwa sana na huu mpango wa Serikali
  7. Songaleli

    JamiiForums Tanzania Yohana Msita: Sasa tutumie tehama kuajiri | si sawa watahiniwa kubebelea vyeti na vitambulisho kwenye usaili

    Serikali ya Tanzania imeanza kuchukua hatua za kidigitali katika mchakato wa ajira kwa kutumia TEHAMA, ili kuondoa usumbufu wa waombaji kubeba vyeti na vitambulisho kila sehemu. Kauli hii ya Mhe. Yohana Msita bungeni inaonyesha mwelekeo wa mageuzi ya kiutawala na utumishi wa umma, ambapo...
Back
Top Bottom