Habar wana jamvi..
Kwa DSM ama nje ya DSM wapi naweza kupata academy nzuri ya kumkuza mwanangu kwenye mpira wa miguu?
Kijana ana miaka 8 na anapenda sana mpira. Sasa maona ni wakati mwafaka wa kumkutengenezea njia ya ndoto zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.