Uzi mzuri sana hongera mkuu.
Shida ya dealers wengi hapa Tanzania hawaleti bike za maana mfano tu hii kampuni ya Bajaj wana bike nzuri sana hizi Dominar 250cc au 400cc na ni imara sana sema wame target kuuza soko lao la india tu.Angalau hapo majirani zetu Kenya watejitahidi kuna baadhi ya...
Nenda zanzibar hapo zimejaa za kutosha kwa wauzaji tofauti tofauti,huwa wanazitoa thailand na indonesia.kwa hiyo ya 2021 ya 150cc wanauza kuanzia 7,500,000 hapo bila ushuru wa bandarini n a usajili wa tra.
Suluhisho lako ungepata kodtec subwoofer kati ya kt 2912 au kt 2913 ungefurahia sana maana mkito wake si mchezo na bei zake ni 400-450
Jaribu kutafuta madukani japo kwa sasa zimeadimika kidogo.
Kama ww ni mpenzi wa deep bass basi nenda jbl hutojutia wana sound nzuri sana kwa soundbar
Mm nimezielewa sana sema ni vile uwezo wangu haufiki huko[emoji1]
Pale wamefail sana ndio maana stock wanayo nyingi
Nachoshindwa kuelewa kwanini wasilete mzigo mpya wa yake matoleo yenye demand kubwa sasa?
Ndio ndio sales manager amelala
Mrejesho
Leo nimetoka kariakoo kwenye maduka mawili ya kodtec wameniambia mzigo wamemaliza wiki iliyopita na hakuna duka lolote wenye hizi kt 2912 au kt2913
Nimezunguka hadi kariakoo mall nimekosa
Kuna duka nimeziona ila hyo bei nimeishindwa jamaa wanauza 850,000 pale kariakoo naona zinashakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.