Recent content by son59

  1. S

    Nimeachwa tena, sijui tatizo langu ni nini?

    Uliyemuacha mwanzo ndye chanzo rudi kwake umueleze kwa nini ulimuacha ndyo utajua sababu ya kwa nini unaachwa
  2. S

    Kuolewa na mwanajeshi

    Mbasha na frola ni wanajeshi, we ma na diamond ni wanajeshi niambie ni kipi knachofanywa na wanajeshi ambacho raia wengne hawakfanyi kla mtu anatabia angalia mtaani kwako ni wa ngap wanaachana na co wanajeshi ndoa ngapi zinavunjika huku baadhi yao wakiwepo mashekhe na wachungaji u amazing ni wako
  3. S

    Siambiwi sisikii kwa wanawake wa Kichaga

    Cna hamu na mwa name wa kichaga
  4. S

    Nataka kubadili dini naogopa wazazi wangu

    Utakuwa gaidi muda si mrefu huko hakufai
  5. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Lakin kesho kama kawa nakamata mkeka maan ucombe huu ugonjw ukakuingia kweny damu name ctokusany hela tena nikila natoa
  6. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kilichonitokea jana leo cjataka kugusa mkeka naumwa
Back
Top Bottom