Recent content by Son Of Light

  1. Son Of Light

    Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

    Pia kama una modules za pharmasia naomba kwa email hiyo hiyo[emoji120]
  2. Son Of Light

    Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    Well said bro! Sasa Naanza kuelewa kidog kweny barua za mkono. Asante
  3. Son Of Light

    Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    umewakilsh vyema mkuu, sema bado hatujui kua huo ndio utaratibu rasm au vip?
  4. Son Of Light

    Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    Mmmh [emoji848] jib lako lina zaa maswal meng ila fresh asant
  5. Son Of Light

    Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    Wadau embu tusaidiane, kwani ni sheria au ni lazima barua ya maombi ya kazi iandikwe kwa mkono? Kama jibu ni mdio wanachoangalia ni nini? Muandiko au? [emoji4] Kama ulisha wahi kuandika barua yamaombi ya kazi kwa mkono au kwa ku type alafu ukapata unaweza pia kutupa uzoefu!
  6. Son Of Light

    Natafuta kituo cha kurisiti chenye gharama nafuu

    [emoji1]Asante Boss! Kama ulivyo malizia hapo chin kweli mi napenda kusoma na ndio naamin hivy pamoja na mishe zote elimu pia itakuja kunisave one day! Asante kaka
  7. Son Of Light

    Natafuta kituo cha kurisiti chenye gharama nafuu

    Aah poa kama wana laboratory itapendeza zaid
  8. Son Of Light

    Natafuta kituo cha kurisiti chenye gharama nafuu

    Kweli mkuu! Hilo nalo neno[emoji1666]
  9. Son Of Light

    Natafuta kituo cha kurisiti chenye gharama nafuu

    Ok Ngoja nitachek Qualifications za hizo kozi zikoje
  10. Son Of Light

    Natafuta kituo cha kurisiti chenye gharama nafuu

    Ujafatilia zipo ujawahai kusikia kozi imeanzishwa alafu baada ya muda inafutwa. Hiyo tuiitaje?
  11. Son Of Light

    Natafuta kituo cha kurisiti chenye gharama nafuu

    Chuo napata kozi gan hapo ya afya bila physics ndo mwish wa siku naangukia vikozi visivyo eleweka! Bora nitafute hata D ya Physics nikiweka na hizo credit za Bio na Chem kama siend advanc bas nikapoge hata clinical medicine.
Back
Top Bottom