Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mjini NALA BP. Karbu na chuo kabisa.
Ni Kiwanja cha Makazi kina ukubwa wa 569 Square mita. Huduma zote zipo maji na umeme. Kipo Barabarani. Kimepimwa na HATI. BEI 5.5M .
Mawasiliano; 0687312076.
Usafiri wangu wa Dar to Dom mara kwa mara but Nachukizwa sana wanaposimama kwenye ile Hotel pale Morogoro.
Wanachakula kibayaa na Quality mbovu kbs. Huku bei yao ikiwa Juu tofauti na zile Hotel Stand ya kwenda Dom. Wezao wanachakula Kizuri.
Ila Simiyu, Musoma na Tabora nimekaa Nipagumu huko kibiashara aisee..
Ila sehemu kama Dodoma Washikqji zangu wengi wametobolea Maisha pale.. Na walikua Mikoa Mingine Maisha yaliwashinda kbisaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.