Recent content by Somi

  1. S

    Sheria Ngowi aang'atuka Yanga, aichapa "Thank You"

    Kauli mbiu mpya ipendekezwe “ Daima mbele daima mwananchi “!
  2. S

    Uongozi wote wa Mzee Hassan Dalali Simba SC Kitakwimu Yanga SC ilifungwa mfululizo na zaid ya mara 5 yao, angalieni Takwimu zenu vizuri

    kuna mechi simba alifungwa na yanga kipindi cha pili hakurudi uwanjani ilikuwa lini ?
  3. S

    Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Kutolewa kwa vilabu vya afrika ni kuzidiwa uwezo wa wachezaji kiufundi, fitnesss na ufundishaji na vilabu vya ulaya na amerika kusini .
  4. S

    Tunachowadai wachezaji wa Simba msimu huu

    😂😂
  5. S

    Ushauri wangu Kwa Yanga baada ya msimu huu kumalizika

    Dube ni wakawaida sana , nafuu sowah Bacca na job wapewe ela ya maana .
  6. S

    Tetesi: Za ndaani: TFF kutumia staili ya Zamaleki vs Al ahly sakata la Derby

    point za huo mchezo hazitahesabika yanga atabaki na kumzidi simba point moja maana wote waligomea mchezo kwa nyakati tofauti . Yanga kugomea mchezo ni kuonyesha nayo ni timu kubwa Kama simba walivyogomea na si vinginevyo.
  7. S

    Wana Simba Nina zawadi yenu ya wimbo huu mpya

    😂simba jike
  8. S

    Simba waliponzwa na mbeleko za ligi yetu, yaliyopita si ndwele.

    marefa wa caf wana uaragija. Marefa wote hapa bongo wangekuwa na uaragija tungeongea mengine kabisa.
  9. S

    Full Time: Pyramids FC 2 - 1 Mamelodi Sundowns FC | CAFCL Final | 2nd Leg | 30 June Stadium | 01-06-2025 (Ag 3 -2) Pyramids Mabingwa

    mamelodi kwa wizi alioifanyia yanga hawezi kubeba Kombe. Tupo na Mayele
Back
Top Bottom