Tunachowadai wachezaji wa Simba msimu huu

Tunachowadai wachezaji wa Simba msimu huu

Endapo Simba itashindwa kuibuka na ushindi hiyo tarehe 25 yafuatayo yanatakiwa kufanyika
1. Benchi lote la ufundi liondoke
2. Wachezaji wote waondoke timu ianze upya
3. Uongozi wote uachie ngazi

Ni dhambi kushindwa kuwafunga nyuma mwiko mechi 5 mfululizo na viongozi wapo wapo tuu
Nawakumbusha tuu wachezaji na viongozi, kusare ama kufungwa leo hakukubaliki kwa namna yoyote ile
 
Hatimae wameshindwa vyote, inabidi panga lipite kuanzia viongozi, scouts wachezaji timu ianze upya
 
Safu yote ipishe watu wengine, Mo aache ubahili anunue wachezaji wa maana
 
Wachezaji wa Simba sisi mashabiki wenu tunawadai kimoja kati ya vitu vitatu vifuatavyo na ikiwezekana vyote

1. Kumfunga Berkane na kuchukua shirikisho

2. Kuwafunga " hatuchezi fc na kuchukua ligi

3. Kuwafunga "hatuchezi fc " na kuchukua crdb

Haya mambo matatu mkishindwa kufanya hata moja kisha tumalize msimu patupu haikubaliki, ni either muondoke wote tuanze upya

Tumechoka unyonge wa miaka minne
Bado tupo sana.
By Mangungu.
 
Back
Top Bottom