Recent content by Sometimes

  1. S

    JamiiForums Tanzania Bungeni: Naibu Spika alalamikiwa kumzunguka Spika Ndugai

    Pamoja na Bunge kuwa na Kamati, Kanuni na Miongozo, inawezekana kweli Naibu wa Spika akafanya hiki kunachosemwa?
  2. S

    JamiiForums Tanzania Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!.

    Nimekuambia mimi siyo rika lako! Usifikiri kila anayeingia humu ni Bavicha mwenzako au Uvccm!
  3. S

    JamiiForums Tanzania Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!.

    Kwa taarifa yako mimi sina chama. Ni raia tu wa kawaida!
  4. S

    JamiiForums Tanzania Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!.

    Sina haja ya Vyama mimi! Unaabudu mtu hata akikuambia zungusha mikono unafanya? Ni akili hiyo!
  5. S

    JamiiForums Tanzania Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!.

    Usidandie behewa usilolijua!
  6. S

    JamiiForums Tanzania Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!.

    NCCR ipo UKAWA! Unafikiri mimi ni ACT kwa mawazo yako?
  7. S

    JamiiForums Tanzania Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!.

    NCCR ambayo ipo kwenye UKAWA ina viti maalum vingapi?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!.

    Mimi siyo saizi yako kijana! Hapa natumia laptop Apple na siyo huyo mchina wako. Ninakula pensheni wewe unaangaika kuzungusha mikono!
  9. S

    JamiiForums Tanzania Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!.

    Swali langu ni kuwa UKAWA ni matapeli! Mmeshindwa kumpa Ubunge wa Viti Maalum mke wa mwenyekiti mwenza wa Ukawa, badala yake mnampa EL viti 5 ambavyo amevigawa kwa wanaCCM!
  10. S

    JamiiForums Tanzania Asiepokea mshahara vs viongozi wasiotangaza mali zao hadharani

    Hiyo barua umeisoma peke yako?
  11. S

    JamiiForums Tanzania Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!.

    Jibu hilo la kutompatia mama wa watu ubunge, wakati El anapeta na viti5 ambao amewachukuwa huko huko CCM!
  12. S

    JamiiForums Tanzania Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!.

    Mbatia naye ana taa ngapi kule NCCR? UKAWA ni watu wa hatari sana! Mmeshindwa kumpatia Ubunge wa Viti Maalum mke wa marehemu, Mwenyekiti Mwenza UKAWA mzee Makaidi badala yake mnampa EL nafasi5 za viti maalum!
  13. S

    JamiiForums Tanzania Asiepokea mshahara vs viongozi wasiotangaza mali zao hadharani

    Kwani sababu zilizoelezwa zilikuwa ni mshahara tu? Tuwekee na sababu zingeni ambazo serikali haikutaka kuzisema hadharani!
  14. S

    JamiiForums Tanzania Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!.

    Mlijifanya kutoka Bungeni eti mpaka sharti la kuonyeshwa live Bunge litekelezwe! Kulikoni sasa mpo Bungeni au sharti lenu la kuonyeswa live limetekelezwa? Msikilize Zitto na nondo zake Bungeni amewazidi hao ndugu zako!
  15. S

    JamiiForums Tanzania Usafi wa jiji la Makonda leo

    Suala la USAFI unaingiza u Chama? Hivi haujui kuwa Halmashauri zote huwa zinashindanishwa kwa usafi hapa tanzania?
Back
Top Bottom