KOSA la kawaida kabisa ni kuzitafsiri hizo data na kusema 49% ya ndoa kwenye jamii zinakabiliwa na hilo tatizo. Lakini hakuna ubishi kwa hiyo % kuwakilisha HAO TU waliofika kupimwa LAKINI hawawakilishi jamii nzima.
We mleta hoja kichwa chako kimejaa maji ya madafu. Kitakacho kuokoa toka kwenye utangulizi niliotoa kwa moyo safi ni labda iwe tu kuwa wewe huelewi bandiko lako; vinginevyo .. Akili zako zemeshambuliwa. JPM hauhitaji huo ujumbe hapo: haumuhusu kwa namna yeyote ile.
Nimalizie kwa kusema kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.