Recent content by solow swan

  1. solow swan

    JamiiForums Tanzania Nikiwa na GPA YA 4.7 naweza pata chuo cha kufundisha?

    Kama chuo kitakuwa na uhitaji wa tutorials assistant utabakisha au ujaribu kuomba kazi za tutorials assistant kwa university college(Vya private) na institute kuanzia G.P.A 3.5 na university ni kuanzia G.P.A 3.8 au ukasome masters na uwe na G.P.A kuanzia 4.0 ili uje kuwa assistance lecturer...
  2. solow swan

    JamiiForums Tanzania Mishahara ya Lecturers na Maprofesa wa vyuo vya makanisa ipoje kwa wastani ?

    Gross salary start 2m kwenda juu
  3. solow swan

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi Iringa

  4. solow swan

    JamiiForums Tanzania Mkufunzi wa uchumi (Economics tutorials)

    Nafanya kazi hizi -Kufundisha somo la uchumi na commerce katika O-levels na advance levels. -Kufundisha uchumi katika undergraduate level certificate, diploma na bachelor degree. -Kutoa notes na vitabu vyote zinazohusiana na uchumi kama micro economics, macroeconomics, econometrics, n.k...
  5. solow swan

    JamiiForums Tanzania Bodi ya mikopo elimu ya juu(HESLB)

    Nenda kwenye website ya search guidelines for postgraduate students vigezo vya kupata mkopo ipo
  6. solow swan

    JamiiForums Tanzania Je, Ni Lazima Utumie SPSS Katika Kila Aina ya research unayoifanya?

    R,STATA,E-view,Excell,Power BI for data visualization
  7. solow swan

    JamiiForums Tanzania Nasibu S.M form 6 Ndanda Sec alikuwa na changamoto gani?

    V Kijana wa hashimu rungwe 😂 😂
  8. solow swan

    JamiiForums Tanzania Je, nikihitaji kusoma upya degree ya 2 ya HR au Public Administration, nitatumia miaka miaka 3 tena?

    Postgraduate diploma/advanced diploma ni sawa na bachelor degree
  9. solow swan

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua vyuo vinavyotoa Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) pamoja na ada zao

    Nenda website ya tcu uangalie guidebook for postgraduate admission 2024/25
  10. solow swan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kati ya Bachelor of Arts in Economics na Bachelor of Economics and Finance

    1. Kama unataka uelewa mpana kuhusu masuala ya uchumi na tafiti zake kama inflation, exchange rates and Foreign exchange market(FOREX) Foreign Direct Investment (FDI) per capital income, gdp, investment, interest rate n.k fanya hiyo ya ardhi. 2.na kama unataka kufanya kazi katika financial...
  11. solow swan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kati ya Bachelor of Arts in Economics na Bachelor of Economics and Finance

    Bachelor of economics and finance unasoma mambo baadhi ya uchumi na mambo ya baadhi ya finance lakin unakuwa haupo deep sana kwenye uchumi na wala finance kwa pure economics(bachelor of arts in economics) na pure finance ni bachelor of commerce in finance lakini inakuweza kuomba kazi...
  12. solow swan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kati ya Bachelor of Arts in Economics na Bachelor of Economics and Finance

    Bachelor of arts in economics(pure economics) unasoma kozi zote zinazohusiana na uchumi kwa ujumla na inakuwezesha kufanya kazi zote zinazohusiana na uchumi mfano agricultural economics and natunal resources, environmental economics(NEMC), Public finance(taxation), international...
Back
Top Bottom