Naomba ushauri nawashwa sehemu ya uume kuzunguka sehemu yote ya siri mpaka pumbu zinawasha sana mpaka sipati raha wakati nikifanya tendo la ndoa.
Nimepima mkojo hakuna tatizo ila mkojo una rangi nyingi nimeambiwa ninywe maji mengi nimepewa dawa vidonge na dawa ya kupaka lakini bado nawashwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.