Umenena yalio mema kwani mpwapwa ni kati ya Wilaya kongwe kabisa ila kimaendeleo ni zero. Asiye sikia la Mkuu huvunjika guu 2025 sio mbali sana, atahukumiwa na wajumbe.
Kwanza kakorona ni kagonjwa kadogo tu. Hata malaria ni ugonjwa mkubwa Tanzania kuliko Corona. Sisi wanambea tunaendelea kula vitu toka day one kutangazwa ugonjwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, ulichoongea naunga mkono 100%
Mi naongeza, Mbunge anaechaguliwa kuwakilisha wananchi anatakiwa awe mkazi wa kudumu katika jimbo husika. Kunawatu kisa tu wanaasili ya sehem flani wakisikia chaguzi unakaribia wanakuja vijijini kuutaka ubunge.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.