Recent content by sokonne

  1. S

    Wapiga "dili" wazidi kubanwa. Heko Magufuli na Serikali yako!

    Kuna wale wapiga deal wa uwanja wa ndege, ununuzi wa ndege kwa cash, vitambulisho vya taifa, itabidi tujue walikoenda
  2. S

    Yvonne Chakachaka atamani kukutana na Rais Magufuli. Ampongeza kwa kazi nzuri anayoifanya

    Kofi olomide pia anatamani kukutana na kagame ampongeze kwa uongozi mzuri.
  3. S

    Ipo haja ya kuchunguza uraia wa baadhi ya wanasiasa

    Mwenyewe kiswahili hujui, tunaanza na wewe
  4. S

    Diwani Wa Chadema kata ya Tabata adaiwa kuwachangisha wananchi 20,000 ili kuzuia nyumba zao zisibomolewe

    Tuonyeshe matumizi 1.5 trilioni, acha kuficha kichwa, while kiwiliwili kinaonekana
  5. S

    Mlinga ampa kazi IGP kuhusu kina Mange

    Uelewa wa watu kama hawa ndiyo unapelekea wazee wastaafu kuhitisha mjadala wa elimu. Haiwezekani kichwa kubwa kama tikiti, akili ya panzi
  6. S

    Mlinga ampa kazi IGP kuhusu kina Mange

    Duh, kweli tunahitaji mjadala wa kitaifa kuhusu elimu, mbona kufikiria imekuwa kazi ngumu hivi?
  7. S

    Mlinga ampa kazi IGP kuhusu kina Mange

    Huyu aliyesema mwanamke kwenye nembo kavaa wigi?
  8. S

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Kwenye mgao wa 1.5tr+, we unapambania buku 7 tu?
  9. S

    Mpaka 2020 nchi itakua imekwisha kbs kiuchumi no direction

    Wewe ni kati ya watu waliyosababisha mkapa aitishe mjadala wa elimu, uelewa wa mambo umefifia sana
  10. S

    Zitto Kabwe anahitaji ulinzi

    D Duh, Mkuu na wewe ni mmoja wa malaika?
  11. S

    Zitto Kabwe anahitaji ulinzi

    Uelewa wa watu kama wewe ndo unafanya elimu yetu inadharaulika
  12. S

    Kuapishwa kwa majaji Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea

    Hajadanganya Mkuu, ameongea kilichopo kwenye report yake.
  13. S

    Kuapishwa kwa majaji Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea

    Hajadanganya Mkuu, ameongea kilichopo kwenye report yake.
Back
Top Bottom