Recent content by sokoinei

  1. S

    JamiiForums Tanzania Lema aongoza red briged kung'oa mashina ya uvccm leo usiku kata ya sombetini

    Mkuu shida ya hawa watu sio tu hawaishi kumueka Lema midomoni na makalioni? Tatizo lao kubwa wanadhani kuwa M.sen.ge ni lazima kushikwa makalio! Kumbe hata kutunisha Makalio km Amina Ngalo nako ni use.nge. Lema na Mabango wapi na wapi ndugu yangu. Dhambi ya Ukabila itawatafuna sana mwaka huu...
  2. S

    JamiiForums Tanzania RFA mnakera mnafikiri WANANCHI hawajui kinachoendelea kati ya CCM na CDM

    Ninatamani sana pale panapotokea vurugu na watu kupoteza maisha,,,watu wa jamii ya aina yako ndio wapoteze maisha. Unajua kua senge sio lazima uwe unapumuliwa kisogoni km wewe,lakini hata tu tabia ya kutunisha makalio kama unavyofanya wewe ni Us..en.ge pia! Anachozungumzia mleta mada ni...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kinana awataka wananchi kuwapuuza wapinzani

    Upi sasa Udaku? Kinana hana uwezo wa kutuambia tuipuuze Chadema! Ingekua vema zaidi km tungempuuza yeye na Ccm yake kwanza kwa kushindwa kusimamia kauli yake ya MAWAZIRI MIZIGO! Leo akitujia na NGONJERA za CDM hatuwezi kumuelewa kabisa. Tuipuuze Cdm kwa makosa gani? Jamani...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mhe.Tundu Lissu ndani ITV

    Mbunge wa Singida Mashariki na Waziri kivuli wa sheria na katiba, mh Tundu Lissu amedai kuwa 100% ya Watanzania wanazungumza Kiswahili na hawajui kingereza. Anasema kwamba Sheria za nchi zinazotungwa na bunge huandikwa kwa kingereza wakati WABUNGE walio wengi ndani ya bunge hawajui kingereza...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wangu CCM Jakaya Kikwete: Lowassa's buck stops with you!

    Baada ya CHADEMA kumsimamisha Msaliti wao Zitto Zuberi Kabwe na wenzake wawili Samson Mwigamba na Kitilla Mkumbo kwa kosa la kuandaa Waraka wa kukivuruga Chama,,baadhi ya wana Ccm walishabikia na kushadadia kwa kusema kuwa Zitto kaonewa. Walienda mbali zaidi na kuja na matamko km ZITTO KWANZA...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Lowassa apata za uso jijini Mbeya kutoka kwa JK

    Mi nadhani wewe ndio hijui alichokiandika mleta mada,wala sio Mipasho. Ni kweli leo Kikwete kamtolea Uvivu Lowassa,zile stori za kusema hatukukutana barabarani leo zimedhihirika kwamba bora hata wangekutana barabarani kuliko Vichochoroni. Mh Rais na mwenyekiti wa Ccm taifa amesema kuwa watu...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kura ya Maoni inayoendeshwa na Nipashe, Lowasa awaacha wenzange mbali sana.

    Akiwa Waziri mkuu,mtu wa tatu kutoka kwa Rais alijitafutia mradi wa kumuingizia Tsh 152 Milioni kwa siku! Je akiwa ndie Rais si atajitengenezea mradi wa kumuingizia mara 10 ya Richmond!? Ufike wakati watu waache kuwafanya wengine ni Mandondocha! Yaani mtu katuibia na bado anatuibia eti ndio...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Tamko la M/kiti CCM MKoa wa Shinyanga dhidi ya Malecela, Makonda

    Umejitokeza mafichoni sio? Haya sasa embu niambie nani kakuambia mimi ni mfuasi wa Lowassa? Fwatilia mada na michango yangu humu km kuna siku niliwahi kuisifu Ccm na Vibaraka wake. Mimi ni CHADEMA DAIMA DUMU, ila nafurahishwa sana na hizi nguvu za Lowassa ndani yenu nyie Magamba, kwani ndizo...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Tamko la M/kiti CCM MKoa wa Shinyanga dhidi ya Malecela, Makonda

    Ndugu naomba tuheshimiane sana! Kama wewe unatumia Makalio kufikiri,basi mimi natumia kichwa! Nani kakuambia Lowassa ni mgombea wangu? Sinaga tabia ya kisengelenyuma ila labda wewe ndie unae. Nimemtaja Lemutuz kwa kuwa wakati Cdm inawashuulikia Wasaliti na Wahaini, yeye alikua mstari wa mbele...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Tamko la M/kiti CCM MKoa wa Shinyanga dhidi ya Malecela, Makonda

    Wewe unaharisha kabla ya Kujamba sio? Swala la Chadema hapa limeingiaje? Mgeja ni wa Ccm.Malecela na Makonda wote ni Ccm! Je unapoihusisha CHADEMA na mada au tamko hili ni ili iweje labda? Viongozi wa Ccm wenye akili timamu na sio km wewe wanajua fika kwamba Furaha ya Chadema na huzuni kwa...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Tamko la M/kiti CCM MKoa wa Shinyanga dhidi ya Malecela, Makonda

    Wacha Matisho wewe! Wenzako wamewahi kutishiwa kwa Bunduki wala hawajashtuka sembuse wewe unatoa vitisho vya maneno?? Jibu hoja wacha viroja! Ben saa nane anaulixa kuwa km Mgeja anawatuhumu wenzake kwa kutofuata taratibu za Chama,,yeye leo alichokifanya ndio utaratibu wa chama au kafuata...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Tamko la M/kiti CCM MKoa wa Shinyanga dhidi ya Malecela, Makonda

    Teh,teh,teh,teh,,,,ha ha ha ha ha ha ha ha! Jamani mbavu zangu mie! Kumbe Lemutuz ujinga alionao amekopi kwa baba? Kweli nimeamini ukiwa Mzigo lazima uzae mtoto MZIGO! Mzee Malecela ni Mzigo ila Lemutuz ni MZIGO zaidi.Huu ndio mwisho wa Ccm baada ya Chadema kuvuka salama kwa Wasaliti sasa...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini kila mwana CCM anayehisi kunyimwa nafasi kugombea ukimbilia CHADEMA?

    Mwaka 2005 wakati Rais Mstaafu Mkapa anaenda kumaliza muda wake.kulikua na msuguano mkubwa sana kati ya kambi zinazopingana ndani ya chama cha mapinduzi,ikiwemo kundi lililomungiza mh. Kikwete madarakani na lile lililokua kundi la Waziri mkuu mstaafu Fredrick Sumaye! Wakati wa mchakato wa...
  14. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yasogeza mbele Mkutano wa Jangwani

    Sijapata kuwa na wasiwasi na uwelewa wako kaka Pasco! Kikubwa ambacho watu wengi wanashindwa kugundua kwako ni kwamba wewe ni mkweli na husukumwi na ushabiki. Chadema kuacha kufanya mkutano wao Jangwani siku ya jumapili na badala yake wamepngia siku nyingine,sio kuwa ni wajinga! Ni ukweli...
Back
Top Bottom