Recent content by Soil and Crop Scientist

  1. Soil and Crop Scientist

    Afghanistan yatuma Brigade moja ya wapigani Kusaidia Lebanon

    Ninachojua ni kitu kimoja hapa, hii vita itakuwa kali sana na upande ambao wataumia siku ya mwisho ni Lebanon, keep this sms
  2. Soil and Crop Scientist

    Tuacheni utani, Gaza imechakazwa

    Hii vita huwa nikiifikiria sana nashindwa elewa nini hasa ndio chanzo cha haya yanayoendelea leo huku mashariki ya kati. Kweli Hamasi waliwavamia Wayahudi na kufanya kama yaliyoshuhudiwa siku hiyo Octoba 7, watu wakatekwa na wengine kuuwawa, Myahudi akaanzisha kitu ambacho aliapa kuwa kitu...
  3. Soil and Crop Scientist

    HAMAS wazidisha mateso kwa Wapalestina, wabadilisha mapendekezo na kuongeza visivyotekelezeka

    Nani ambae kawafunga mikono bwana mdogo????? kama walikuwa wanataka vita na wanajiona wapo sawa si wakae sehem nzuri na waache kutumia raia kama kinga alafu uniambie kama hiyo vita itadumu kama ambavyo kwa sasa inakuwa ngumu
  4. Soil and Crop Scientist

    Mataifa ya kiislamu yamepanga kwenda China kuomba isaidie kusimamisha vita vya Gaza

    jameni wameskia na haitokuja warudie kosa, kama kuna yeyote mwenye uwezo wa kuongea na Israel awaambie( hii sentensi nimeipenda mno mpaka nimecheka )
  5. Soil and Crop Scientist

    Israel yavamia nyumba ya mkuu wa HAMAS na kukamata familia yake

    Umemjibu vzr sana akiendelea kuuliza nitapata wasiwasi sana na uelewa wake
  6. Soil and Crop Scientist

    Israel leo yapiga vibaya Gaza, Ukingo wa Magharibi na Syria huku Marekani ikipeleka ndege 45 za silaha nchini humo

    Kwa hiyo mrusi kwenye vita unahis unavunja miti ya misituni tu???? Kama hujui kitu/vitu tafuta literatures zitakueleza. Vita ni vita tu mkuu, kwa nn huwalaumu HAMAS kwa kuendelea kuwashikilia mateka ambao wamewateka???? Unahis Israel anapoendelea kulipua sehem flan unahis hana intelejensia...
  7. Soil and Crop Scientist

    Putin atoa agizo kwa kila raia nchini Urusi kujiweka tayari kwa kushiriki nuclear war drills

    Kwan hayo ma nuclear anayopeke ake mrusi mpaka useme atateketeza vidrone vya Ukraine???
  8. Soil and Crop Scientist

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Unless uanze wewe labda itakubali ku respond pls dm pls
  9. Soil and Crop Scientist

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Naendelea mpaka mda huu inaweza kubali
  10. Soil and Crop Scientist

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ur location pls as well as contact
  11. Soil and Crop Scientist

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nakwambia ukweli kbs, uko real nag sio wale wanaongea kwa wasiwasi kbs, Wish ningekujua hata jinsi ulivyo maana upo real
  12. Soil and Crop Scientist

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Fifi una pepo yako mbinguni
Back
Top Bottom