Mkuu , hao wanaokwambia hivyo kwa ufupi wanakupenda sana sema hawamalizii ujumbe wao kwamba wakati unasoma degree yako jitahidi sana kujibana kwa matajiri wa mjini hapo kama ni mji ili ukimaliza wakufadhili kula na pa kulala vinginevyo ukihitimu tu hapohapo unarudi kulala chumba ulicholala ukiwa...
Mimi natangaza kuwa MTU wa kwanza kuwa siiamini Serikali kama inawaona vijana na generation ijayo ..
Sijui serikali hii inatamani kuona Society ya aina gani in 5 to 10 years later.
Naamini vijana ni kundi linaloteseka sana kuliko kundi lolote lile na kipindi hiki cha awamu ya tano vijana...
Mkuu kwanza nakupa pole sana
Nilivyosoma ujumbe wako huu , nikadhani unaniongelea mimi . unapitia changamoto kama zangu 100%
1. Nimefuatiliwa na hizi roho sana na huenda isingekuwa watumishi wa Mungu nisingekuwa hai kabisa
Tatizo watu haya mambo wanayachukulia kimchezo ,
2. Nilifukuzwa kazi...
Duh umenitisha mkuu
Kama juzi limekuja na ni lizuri sana nikawa nalikataa hatimaye likanilazimisha
Likawa linanyonya mashine yangu kwa ustadi wa hali ya juu ndo nkalikubalia lakini baada ya kugombana saaaana mpaka nkanyanyua meza kulipiga linaniambia siwezi kulipiga na nikijaribu litanikomesha...
Mkuu , hili tatizo lipo na huenda ni LA wengi mno lakini wengi hawasemi hukaa nayo moyoni
Nakwambia Mimi nilikuwa na assume kama wewe au zaidi yako lakini nikikusimulia private hata wewe utajua ninachomaanisha kuwa ni serious issue
Mkuu , linanitesa sana usiku wakati wote linanijia linataka nisex nalo ,
Na wakati mwingine nasex nalo nakuta manii kitandani mengii, alafu linaniambia nisipoacha mke litavuruga kila kitu changu ,na nimeanza kuona mambo yalivyo
Mkuu , nateseka sana , Luna m wengine wamechukulia utani , kwa kweli siyo utani
Limenifilisi sana na kila siku usiku linakuja linaniambia lazima niachane na mke wangu LA sivyo litaniletea majanga
Na kweli mpaka sasa nimeona madhara
Wakati mwingine linakuja linataka sex nakataa , linalazimisha...
Wakuu naomba sana kujua jinsi ya kulifukuza mini l mahaba.
Na pia naomba kujuzwa kuhusu ;
1. Linatokea wapi ?
2. Lina uwezo gani kuharibu maisha ya MTU
3. Linakaa kwa MTU mpaka kipindi gani
4 . je, halifi ?
5. Kulifukuza ni mbinu gani inatumika na kulitokomeza kabisa?
Nisaidieni ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.