Recent content by sochaz

  1. S

    CHADEMA na TBC kunani?

    Tahira hujiona anajua sana kuliko wazima. Chezea lema,hugo chavez.
  2. S

    Polisi: Upelelezi wa Lwakatare umekamilika

    Ah mwigu...! Nakumbuka enzi nikicheza mpira,nikiona game linakuwa gumu lazima nijisalimishe kwa refa kuomba ahuweni walau awabane opponents. Elimu unayo mwigu...mbona fake zenu za kitoto sana mnazocheza.?
  3. S

    CHADEMA Imekaaje?

    Kwa comment yako unaweza kuwa na jibu? Tusaidie tafadhari...
  4. S

    Sadifa: Sijawahi kuwa kichaa

    Hahahaaaaa.....cheka kisport....
  5. S

    Filikunjombe na 'upuuzi' wa wabunge wa CCM!

    Hivi hawa ccm wamerogwa na nani. Ki ufasaha wabunge wote wa ccm wanachokifanya bungeni ni comedy sio kwamba hawajui watendalo,wanajua udhaifu wote wa kile wanachokinena. Swal : wanamkomesha nani,au ndo kuonana mabwege kwa sisi tuliowapa kwenda choo?
  6. S

    Filikunjombe na 'upuuzi' wa wabunge wa CCM!

    Hivi hawa ccm wamerogwa na nani. Ki ufasaha wabunge wa wote wa ccm wanachokifanya bungeni ni comedy sio kwamba hawajui watendalo,wanajua udhaifu wote wa kile wanachokinena. Swal : wanamkomesha nani,au ndo kuonana mabwege kwa sisi tuliowapa choo?
Back
Top Bottom