Recent content by socercity

  1. S

    Hatutaki elimu ya bure ya Lowassa...

    Vp?umeamka hangove,nini?au upo chooni,unavuta bangi?maana bangi za kuvutia chooni ndiyo jinsi zilivyo,naamini hata ccm imechoka kivile lakini kutuma mtu kama wewe kuwasemea,kuwa mkubwa basi acha kuongea ujinga ujinga
  2. S

    Je, Wagombe Urais kuvuta watu kwenye Mikutano ya Kampeni ni Kigezo cha Ushindi October?

    Sasa kama population ya watu kwenye,mkutano haina maana,CCM wanasomba watu na magari kwasababu gani?kuwa na watu wengi ni kigezo cha kukubalika, pia ina Leta hamasa kwa wanao anglia kupitia tV,na vyombo vingine, hivo usiwadanganye watu,pia kwenye utafiti huchukui watu wote,ni kiasi kidogo...
  3. S

    Nape hoi hospitali, kalazwa

    Ingekuwa ni uwezo wangu,ningemwambia,Mungu amchukue aende aka rest in peace,mimi cyo mnafiki,hata akifa hana msaada kwetu, sisi watanzania,zaidi ya matusi yake kwa watanzania wanaopenda mabadiliko.
  4. S

    Maneno ya Nape: Ni kwanini Tume ya Uchaguzi wametuwekea mwizi/marehemu kugombea Urais

    We unae Anza kusema ugonjwa wa mtu hadharani ni dactari feki,hujui ulichokisomea,hata kama umetumwa na ccm lakini,huujui udaktari,pia kuhusu kufa Nyinyi ccm cyo Mungu,Mungu ndiye anaepanga kifo cha mtu,pia ukumbuke,hoja yenu haina mashiko utafikiri imeletwa na mlevi wa gongo linalotengenezwa na...
  5. S

    Watanzania wenzangu tufanye mabadiliko

    Kwa hili nakuunga mkono asilimia 100,na pia naendelea kutoa rai kwa washabiki kuwa kuwaza hata nusu dakika juu ya mustakabali wa nnchi yako,na usijiangalie mwenyewe anglia na wenzio,kwasababu wewe umeshiba unaona raha mwenzio akiwa na njaa,sis wote ni ndugu lazima tupendane na tuhurumiane,mimi...
  6. S

    Mama Samia na Mama Salma Kikwete waitikisa lindi

    Hawa ndiyo watu maskini kabisa tanzania pamoja na viongozi wengi maarufu kutoka huko kwa akiwa mzee nkapa,bernad membe,na wengine lakini bado wanaishabikia ccm,hawajui ccm ndiyo inapenda waendelee kuwa maskini na wajinga ili ndiyo wachaguliwe tena,mtaji mkubwa wa ccm ni watu wajinga na maskini
  7. S

    CCM wako wamoja sana wapinzani wajiandae kisaikolojia kushindwa

    Unaposema. Wafanyakazi kuwa wanaipenda ccm ni uongo walio wengi wamechoshwa na mfumo wa ccm,ambao uanawathamini watoto wa viongozi pamoja na ndugu zao wakiwaacha Wananchi walio wengi wakifa maskini kwa kukosa hata huduma muhimu,kama vile maji dawa hospitali,elimu duni,mishahara isiyokidhi...
  8. S

    Magufuli vs Lowassa

    Mimi nafikiri mlete mada ni mada au shabiki wa ccm,maana ccm ni ileile na viongozi wake ni walewale hakuna jipya wanachoweza kufanya,wananchi wa sasa wamechoshwa na maneno,tunataka rais mchapa kazi wakati huu siyo wa maneno zaidi ni vitendo, maneno tumewachia taarabu na bongo flavour za kina...
  9. S

    GE2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

    Wewe weweseka tu,hapo,kama umetumwa nenda kawambie kuwa wamekataa
  10. S

    Kikwete aliingia madarakani Dola ilikuwa shilingi ngapi?

    Eti wanajamii hivi kikwete alivyoo ingia madarakani dola ulikuwa inauzwa shilingi ngapi?na sasa anaondoka anaicha inauzwa shilingi?halafu tunaambiwa uchumi unakuwa,sasa sijui unakuwa kwa njia zipi?wakati mpaka tooth stick tunanua toka china
  11. S

    Serikali ya CCM na mgombea urais wa CCM wavunja sheria za usajili wa magari

    We kikwajuni one,wengi wapi?labda huko kwenu porini,maana hata cjui unaishi wapi?
  12. S

    Naweza kupata S6 mpya kwa laki nane?

    Du,labda feki,cm ya milion moja na laki nane we upate kwa laki nane du,au upate ya uizi,nunu cm nyingine nzuri kulingana na hela yako,hiyo tuache sisi ndiyo tunaweza kupambana nazo,muda wako utafika na wewe utanunua
  13. S

    Prof. Mkumbo: Udhaifu wa Dr.Slaa ni kukurupuka kufanya maamuzi

    Hivi wa kujibu ufisadi ni chadema au ccm kuliko kaa mafisadi na mauzo ya kila aina.we. Tony antony acha ujinga
  14. S

    Dr. Slaa kuzungumza na Watanzania kupitia Star TV, leo Ijumaa, saa 3 Usiku

    Ndiyo aliwataja mafisadi 11 mwembe yanga,sasa mbona anamzogoma lowasa peke yake hao wengine mbona hawataji,halafu ufisadi ni Richmond tu peke yake,escrow,epa,twiga kwenda nnje,meremeta,nk hivo havitajwi,,aache wivu,yeye amekosa mvuto aende zake,ataka kila siku watu kuwa wapinzani,kama anaenda...
  15. S

    Ya CHADEMA, Lowassa na hadithi ya ugali kwa harufu ya samaki

    Porojo zako kumbe ni mshabiki wa ccm, huna jipya kwani mara ngapi?? ccm unakuja na maneno manzuri kutoka kwenye hiyo ilani lakini hayatekelezeki,ccm ni sawa na mwanaume anayemtongoza msichana anamwambia mimi ni mkurugenzi wa kampuni fulani nitakununulia gari,nitakujengea nyumba,nikufungulia...
Back
Top Bottom