Umeshiba makande wewe. Kama kuna siku niliwahi kumuelewa Mzee Jakaya ni siku alipoelezea historia ya huu mgogoro. Lazima tuwafundishe watoto wetu, kwani sababu mzito za kihistoria na za kisasa zipo kwanini mpaka uwe katikati. Yaani Google map ikisema Mt.Kilimanjaro ipo Kenya na sisi tuufyate siyo?
Hafu jana nimeutafuta sana ule Uzi wa kibali lkn si kupata. Nitag na mm tafadhari, ila kwenye ule Uzi umethibitisha Mayala maana yake njaa(curiosity if be positive)😀😀😀😀😀😀
Yaani wanaotoa sababu kwanini Mbowe mitano Tena, zote ni kinyume na mambo ambayo Chadema inayapigania na imekuwa ikiwaaminisha watu kuyapigania. Nakumbuka prof Kabudi aliwai kunukuu ushauri aliyopewa na mwanazuoni mwenzake, " In public service you must learn to swallow your pride and suppress...
Unaweza kumburuza mtu darasani lakini huna akili. Kwa sababu maswali mengi hzo yalibezi kukariri. So unaweza kuwa unakariri tu lkn una mismatch kati ya ulichokariri na maisha halisi
Lkn mwamba hapa kuna matango pori kidogo cause french revolution ni 1789 sasa hao wahaiti wanahojije principles za french revolution in 1770's before even it happened?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.