Mnaanza kupoteana wenyewe, mmoja amezungumzia running cost umeme na blahblah zingine, if that is case kuwepo kwa madaraja its ok, ili kuwepo na access ya angalau hata sisi wakulima tu afford hizo high class angalau kiwango kingeshushwa hata iwe 100,000 kwa uchache..rejea kuwa tanzania sera huwa...
Hii inaonesha taswira halisi ya ukosefu wa weledi katika mipango na hili ndio tatizo kuu la nchi zinazoendelea, serikali badala ya kutoa huduma kwa wananchi wao wanawageuka kuwa wafanyabiashara,na wala hawaoni vibaya...Acha wapande wao na familia zao
Tumepokea taarifa kutoka kwa mwajiri, siku ya jumatatu kila mtumishi wa sehemu hiyo, afike na kadi/ kitambulisho cha mpiga kura na asiyefanya hivyo taarifa za muhusika zifikishwe kwa muajiri.
Swali fikirishi mantiki ya kushikiza hivyo,inatokana na nini?
Thread yangu imetoweka ghafla, nimeshauri serikali itoe tamko juu ya Nyongeza ya Mshahara, tetesi zilikuwa kwamba ongezeko litakuwa linafanyika kwa kila mhusika kulingana na mwezi alioajiriwa.
Hilo limeonekana kuwa kweli mwezi huu. Kutokana na wengi kutokuona Annual Increments.
Regardless CHADEMA wanafanya haya kwa maslahi yao binafsi au laah,! Ila kwa nchi hii safari bado ni ndefu sana kupata ukombozi, ni kama hawa wanajiita wasomi wamelishwa unga wa ndele. Watu wametawaliwa na ubinafsi, unafiki, kujipendekeza kuonekana, (In islam we call it riyaa) hii ni nusu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.