Recent content by smith smith

  1. S

    Msaada wana jf kwenye android

    Habar za hap wapendwa...naomben msaada wenu jf Nina cm ya tecno W3 imegoma kutuma na kupokea WhatsApp msg ,nikitaka kutuma inasema connect to the internet wakat data ziko on...nimejaribu ku unstall na nikadownload nyingine but tatiza limejirudia. your help plz
  2. S

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Yeah mm mwenyewe nmetumia H pylor kit niko poa sana
  3. S

    Msaada: Naomba kujuzwa sifa za kujiunga ualimu ngazi ya cheti

    Labda mwakan mabadiliko yakiwepo coz now ni dvs 3
  4. S

    Majibu ya transfer ya vyuo yanatoka baada ya muda gani?

    Unaeza pigiwa cm au ujumbe mfup wa maandish +sms*
  5. S

    Nacte

    Unauhakika kwamba hakuna tena
  6. S

    Kwa wasiosoma degree kuna kufanya uhamisho mwaka huu?

    Msaada jmn kwa non degree kutakuwa tena na muda w kufanya transfer au ndo 2017 tens
  7. S

    Naomba kufahamishwa kuhusu chuo cha Kilimo taifa

    Niko sehemu haiko net jmn duh kama unaelewa sema ndio au hapana
  8. S

    Naomba kufahamishwa kuhusu chuo cha Kilimo taifa

    Msaada kuhusu hiki chuo naombeni kujua kama hiki chuo cha kilimo taifa in cha serikali au lah! Na je kimesajiliwa??? Plz kama unachochote hebu nisaidie
  9. S

    Naomba ushauri, sijachaguliwa na TCU

    Jaribu mount meru wanapokea
  10. S

    Naomba ushauri, sijachaguliwa na TCU

    Jaribu mount kama muda haujaisha coz mount meru wale wanapokea direct
Back
Top Bottom