Nikiwa kwenye websites nyingine nataka ku apply zinaleta Soo many datas, nashindwa kujua nifanyaje, maybe nakoa procedures au vipi, Ili simalizi , znakua snajirudia, help me wana JF
Hello guys, habari za humu ndani wana JF.
Mi ni binti, nimemaliza form 6 mwaka huu na namshukuru Mungu nimefauru vizuri, nimepata dv 1 ya point 7 HGL, na niliapply vyuo baadhi na nimechaguliwa vyote including Udsm
Lakini napenda nipate scholarship nisome vyuo vyo nnje hasa nchi za ulaya...
Aha! Asante unaweza ukawa unafahamu kiundani zaidi labda hyo course maana me najua inahusu usimamizi wa afya nimejaribu kufadilia ada yake hata sijaiona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.