Jamani wa ndugu.mimi pia nimetumiwa hiyo email. Na nikapata ushauri kua niende KCB kufuatilia kama kweli hiyo org ipo. Nilipo fika wakajaribu ku icheki. Hiyo account imefunguliwa march this year huko mwanza na watu wawili, wakidai kua ni NGO inayohusika na mambo ya sec school, pia wanadai wana...
wivu wa nini sasa, mbona wewe unaenda? so yeye avumilie tu wakati wewe ndo unashida na huvumilii. Kweli dunia imechafuka. Acha uzinzi, mrudie muumba wako, nenda kwenye maombi kama kweli unataka kuponya ndoa yako. Vinginevyo mtaleteana to mi ugonjwa badae.
Kwani watu sikuhizi hawana dini jamani...
Usiwe na wasiwasi, jitulize, na usipende kuanzisha mahusiano ambayo unajua hayana feature yoyote, Cause hayo yatawakimbiza wale ambao wapo serious. Pia usisahau kusali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.