Recent content by Smashala

  1. S

    Hili la Wachaga kutoajiriwa Serikalini na Taasisi za Umma awamu ya tano, Mbowe anadanganya umma?

    Kama ni kweli, Magu atakua amewasaidia saana wachaga kujikita kwenye self-employment. Nyerere aliwafanyia hivyohivyo kwenye elimu, wachaga wakajenga private school (wakaziita shule za wazazi). Leo, zaidi ya %50 ya private school zote TZ, ziko kanda ya kaskazini hususani, Kilimanjaro.
  2. S

    Serengeti: Adaiwa kumuua mumewe siku 14 baada ya kufunga ndoa, kisa si chaguo lake

    Si-shabikii kitendo alicho fanya huyu binti; lakini, she was forced kufanya mapenzi na mtu asie mpenda na hatakama unamjua, ni sexual assault. Wakina dada wendi especially vijijini wana jiua kutokana na tabia hii ya wazazi/mila kulazimisha ndoa. Tuna takiwa kubadilisha mila zetu ziendane na...
  3. S

    Mtandao wa Corona Virus Statistics unaonyesha Tanzania hakuna vifo na maambukizi mapya tangu wiki iliyopita

    wa dhugu wana msema " read between the lines". Napenda unapotumia alama ya (!) kwenye hii article.:)
  4. S

    Awamu ya tano: Kuweni Wakali, msionee! Tangulizeni utu na ubinaadamu kwanza!

    Animals don't have mixed emotions the way people do. That is all I have to say about the clip.
  5. S

    Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi

    Kama Magufuli angekubali democrasia ishamiri TZ, he would have been the best president in Africa history.
  6. S

    Psychoanalysis ya Waomba Msamaha Kwa Rais, Makamba Snr is the Next, Membe Will Never for Pride, Kiburi na Jeuri, Kinana Will Never for Integrity

    Waliokua wakifanya news analysis wako jela au walipotea kwa mazingira ya kutatanisha.
  7. S

    Kiukweli nimeguswa sana na uchapakazi wa Rais Magufuli!. Je, kuna uhusiano kati ya kabila la mtu, na uchapakazi wake?. Je, 2020 kuna haja ya...

    Mr. P naomba niweke mambo sawa kidogo. Wawindaji, wafugaji, wauza nyama, wanaongoza kufanya the "oldest profession" nk... makabila yote haya niwachapakazi. Tena, professionals. Swali la kujiuliza, nilipi kati haya makundi/makabila yana uwezo wa kutoa Kiongozi bora (Good leadership qualities)...
  8. S

    Ugomvi wa mali wamsukuma bilionea kumkana mtoto wake. Ni ugomvi wa Ukurugenzi wa MOTISUN Group

    Wachagga hili tatizo ni dogo saana. Hapa kisu cha Mangi kingemaliza hii tatizo bila malumbano.😁
  9. S

    Polepole: Hata Mungu hakutaka upinzani ndiyo maana alimfukuza shetani mbinguni

    Kwahiyo chama tawala ni Mungu? Nadhani tufike mahali tuweke breki kwenye ndimi zetu.
  10. S

    Acacia Yaikana Barrick Mchana Kweupe!. Yatoa Press Release na Kumruka Barrick Kuwa Haijui Chochote Kuhusu Makubaliano Yoyote na Tanzania

    Tatizo kubwa la serekali yetu nikutokusema ukweli hata pale wanapo fanya jambo jema. It is ok to say, we are still working on it. Kwanini inajiaibisha? What a shame!!
  11. S

    Serikali: Polisi wameshindwa kuendelea na kazi ya upelelezi wa kesi ya shambulio la Tundu Lissu

    Tumesha kua donor country. Hii product, Tundu, iliyo tokea singida inamaket saana huko ulaya na marekani. Hata bunge letu kila siku hufuatilia mafanikio ya hii kitu kutokea singida; Otherwise, mambo hayaendi. Mpaka 2020 ifike, possibility ya TZ kuwa donors wa demokrasia ni nzuri saana. 🙏🙏
Back
Top Bottom