Siku ukirudi kutoka kuosha vibibi vya kizungu huko lazima ujambishwe!Bunge ni UOZO kabisa! Haiwezekani kabisa madudu na maovu yote haya nchini yanayofanywa na huyo kichaa dhalimu halafu bunge linalotuwakilisha Watanzania liko kimya kabisa.
Niko upande mmoja na CAG Assad.