Habari kaka biashara. Ile njia uliyonifundisha ya kutumia mafuta machafu ya kupikia yaliyoshatumika imefanya kazi. Sabuni imefaa. Pia ile njia ya kugeuza sabuni ya Maji kuwa ya Miche kwa kutumia salt deformation pia sio mbaya ila inabidi niendelee na kuiboresha zaidi.
Nimefanya analysis ya gharama ulizoweka katika DVD yako uliyoniumia. We ulisema ni 593,600 hivi. Mimi nimepigiana mahesabu na suppler mmoja ambaye imefikia sh. 643,000. But still sio mbaya. Wengine gharama yao ni 2.5m na 5M. So nimekuwa very impressed nawe. Hongera.
Baada ya kuangalia mchanganuo wa gharama za kujenga greenhouse katika kitabu chako nilikuwa na wasiwasi nazo hasa kuhusu vifaa kadhaa kama vile UV plastics kwa ajili ya kujengea greenhouse. Nikaamua kufanya research kama hii ni kweli. Nilipiga simu kwa rafiki yangu mmoja yuko arusha ambaye...
Hilo ndio tatizo lenu watanzania jamani. Hamuwezi fanya kitu mpaka mtafuniwe! Wewe kama umeshapewa elimu kwa nini usiende ifanyia kazi? Unataka utafuniwe cha nini?
Ni kama mtu unaona mwenzako kafungua duka pembeni yako nawe unataka ufungue duka la namna hiyo hiyo. Unadhani hiyo ni nini? Ndo...
Mi nadhani fanya hivyo. Maana mi pia nimepitia mafunzo mengi ya ujasiriamali na sijapata info zenye maana maana zote naziona kwenye internet. Ila kitabu chako bado sijaanza kukisoma ila kwa kupapasa macho juu juu naona kuna mambo mengine hatukufundishwa kwenye hizi semina zetu. Na bei yako sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.