Recent content by Smart Luke

  1. S

    Rasmi: Majina ya Waliopangiwa kujiunga na Kidato cha Tano, Julai 2015

    Naomba mnisaidie kujua shule walopangwa wanafunzi wa Sengerema Islamic Secondary School Kelvin&David Kogo
  2. S

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    Mazingira ni mazuri chakula kipo na wanafunzi wana uhuru sana hata simu hawakatai'
  3. S

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    Habari. Mimi nimepangwa Kisimiri HKL,kama kuna anayefahamu "joining instructions" zake anisaidie na wale wenzangu tulopangwa huko si vibaya tukifahamiana'
  4. S

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    Sijui taratibu za kuhama ila nakushauri ujitahidi kumtoa dogo hapo Nyanduga(si Nyandagu kama ulivyoandika) ile si shule nzuri mama'
  5. S

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    Magu Secondary kuna PCB ndiyo,ni shule ya mchanganyiko wavulana na wasichana ila walimu siyo wa kuwategemea jiandae kusoma tuition'
  6. S

    Rasmi: Majina ya Waliopangiwa kujiunga na Kidato cha Tano, Julai 2015

    Tafadhali naomba mnisaidie Bumangi Secondary tupo wachache please nisaidieni'
  7. S

    Rasmi: Majina ya Waliopangiwa kujiunga na Kidato cha Tano, Julai 2015

    Naomba unisaidie kuangalia waliochaguliwa kutoka Bumangi Secondary S.0948 Asante'
  8. S

    Chale za waganga wa Kienyeji

    Naomba kuuliza kama inawezekana kufuta chale zinazotokana na kuchanjwa na waganga wa kienyeji na kama jibu ni ndiyo ni njia gani inaweza saidia'
  9. S

    Post za kidato cha tano 2015/2016

    Huyo Alf**king analeta utumbo kila siku'
Back
Top Bottom