Recent content by Smart Dude

  1. S

    JamiiForums Tanzania Lema ana malengo gani na CHADEMA? Matendo yake yanatia wasiwasi

    Lakini Mbowe aliwahi kiyasema haya yote kipindi cha uchaguzi na akashambuliwa sana, licha ya mapungufu yake. Party politics za Africa zinahitaji Mtu mmoja mwenye nguvu sana na anayeweza kucontrol makundi yote. Raila aliweza hilo na alikuwa kingmaker akitaka maridhiano yanatokea akitaka kuingia...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha Ugomvi wa jana kati ya Trafiki na Daktari ni rushwa. Rushwa imekuwa haki ya askari wa usalama barabarani.

    Mkuu labda kama hauendeshi private car dsm; hizo mambo mie sijawahi kuona I stand to be corrected.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha Ugomvi wa jana kati ya Trafiki na Daktari ni rushwa. Rushwa imekuwa haki ya askari wa usalama barabarani.

    Hiyo inaweza kuwa mikese huko; Lakini siyo Dar es Salaam tena saa moja asubuhi tena maeneo ya mwenge. Dkt aseme ukweli pengine alianza zile swaga za unajua mie nani? Polisi kakaza, daktari kaleta ujuaji
  4. S

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha Ugomvi wa jana kati ya Trafiki na Daktari ni rushwa. Rushwa imekuwa haki ya askari wa usalama barabarani.

    Huu ni ukweli Mchungu - na hasa kwa Dsm tena asubuhi polisi huwa wanavuta sana na mara nyingi huwa hawana time na watu; na akikukamata option ya kwanza ni kukuandikia - mtu akiona elfu thelathin kubwa na anajua ana kosa ndio anatoa rushwa. Njia pekee ya kumsaidia daktari huyu ni kumwambia...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha Ugomvi wa jana kati ya Trafiki na Daktari ni rushwa. Rushwa imekuwa haki ya askari wa usalama barabarani.

    Kwa Dsm, uzoefu unasema askari huwa hawaombi rushwa kwa watu wenye magari ya private ila private cars ndio huwa wanarubuni askari na rushwa wakikutwa na makosa. Mie mara zote ambazo nimekamatwa Dsm kwa makosa mbalimbali ya barabarani, ukiombwa leseni na unajua una kosa ukakaa zako kimya...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Video: Mbona kama Taarifa ya Polisi kuna namna ilitupiga kuwa Conrad Agonza Kayoza alipigwa na wananchi hadi kupelekwa hospitali?

    Mkuu hata ulaya na Marekani kupigana na polisi akiwa anatekekeza majukumu ni suicide. Ndiyo maana ni nadra matukio hayo kutokea. Tena akiwa na silaha inawarranty shoot to kill. Juzi kuna moja la Marekani - Trump aliwatetea mapolisi baada ya kuua.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Napata shida sana watu wanaomuunga mkono bwana daktari. Huyu jamaa kesho watsikia kapiga mkewe halafu hao hao watakuja hapa kumtetea mwanamke. Huyu daktari ni mshamba tu - hakuwa na justification yeyote ya kumpiga polisi.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Unaona ushanitukana mie sasa Mkuu? Deal na hoja ndio maturity. Changamoto kwenye Nchi yetu tuna wapigania haki kama wewe ambao wanaunga mkono ufedhuli wanaofanyiwa watu wasiowapenda kisa umefanywa kwa wasiowapenda. Kisa unadhani daktari kwako ni mtu bora uko tayari ambamize askari kisa askari...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Iko wazi; Kama kapigwa na wananchi ni jinai, kama kapigwa na polisi ni jinai. Muhimu kwenye jinai yake ya kwanza - alipaswa kuwa na busara na aoneshe kielelezo cha usomi wake. Lakini hakufanya hivyo na kama kaweza kupiga askari barabarani kwa kutumia logical thinking anaweza kupiga mke...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Mada ni tetesi - tunakosa ushahidi wa kutosha kuijadili kama mada. Ndio maana ukifuatilia wachangiaji wengi wamejadiki chimbuko mkuu Adhabu haiwezi kujitenga na chimbuko.. kama kosa lingekuwa handled prudently tusingekuwa na the aftermath 'ambayo hata hivyo ni tetesi' kwani taarifa ya polisi...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Hoja ya kupigwa na wananchi au kutokupigwa ni hoja nyingine kabisa. Mie nimeongelea chimbuko la tatizo. Kila tatizo liongelewe kivyake. Nililoliona mimi ni hilo la daktari akiwa kamkalia polisi aliye kwenye mazingira ya kazi yake. Si ustaarabu na hakuna usomi utakaojustfy hiyo... the aftermath...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Polisi wamempiga daktari mwenzetu mpaka kalazwa ICU

    Hivi ni kweli kuwa kila kosa la barabarani adhabu yake ni kuandikiwa faini tu? Shida Dr. alileta ujuaji na kiburi kwenye fani za watu wengine. Si angesikiliza elimu maisha yakaendelea? Kumtetea ni ngumu sana. Iko siku tutasikia daktari kapigwa na ndugu wa mgonjwa akiwa kwenye chumba cha...
  13. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dotto Biteko atemwa rasmi na Rais Samia

    Siasa za majitaka; walizianza kwa Dr Salim, TZ ikakosa Mtu bora kuwa Rais. Watu wanaangalia 2030 zaidi.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    USD itakuwa na fluctuations pia: kuna unacertainities nyingi sana kwenye global trade, impact ya vita zinazoendea pia kutokutabitika kwa Trump na sera zake. Usitegemee USD itaappreceate tu consinstently... Kuhusu dhahabu - Bei ya dhahabu sasa imepanda sokoni, pamoja na exports za bidhaa zingine...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    Wachumi hatubishani hivi; chagua variables zako vizuri usiweke general sample. Any way poa mzee
Back
Top Bottom