Recent content by Smart Dude

  1. S

    PostGE2025 Dotto Biteko atemwa rasmi na Rais Samia

    Siasa za majitaka; walizianza kwa Dr Salim, TZ ikakosa Mtu bora kuwa Rais. Watu wanaangalia 2030 zaidi.
  2. S

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    USD itakuwa na fluctuations pia: kuna unacertainities nyingi sana kwenye global trade, impact ya vita zinazoendea pia kutokutabitika kwa Trump na sera zake. Usitegemee USD itaappreceate tu consinstently... Kuhusu dhahabu - Bei ya dhahabu sasa imepanda sokoni, pamoja na exports za bidhaa zingine...
  3. S

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    Wachumi hatubishani hivi; chagua variables zako vizuri usiweke general sample. Any way poa mzee
  4. S

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    No. kwenye Uchumi hauwezi kurun variables zote parallel kama unavyotaka utegemee conclusion yenye Tija. Assumption yangu ilijikita kwenye election vs currency stability nikadraw conclusion. Unaweza kufanya pia assumption yako then tukakubalina kutokubaliana tunasonga mbele.
  5. S

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    Ndiyo maana nakuambia mzee ulianza mapema sana kuniita muongo. Hata hizi data ulizoweka zinaonesha 2015 - USD 1 Jan ilikuwa sa na TZS 1700 - October ilikuwa sawa na TZS 2200... fanya analysis ya Data mkuu. Usiwe mwepesi sana kushambulia watu. Kushambulina sio moango wa wasomi waliostaarabika...
  6. S

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    Hiyo ndio average highest inflation rate hata kwa 2024; kuna muda ilikuwa inacheza around 3.3%, 3.4% 3.5% lakini iko within range. Ya 3 - 5%.
  7. S

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    2015 ilishuka kutoka 1754 kwenda 2180 against USD, 2020 pia ilishuka zaidi. ACHA UONGO.
  8. S

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    Lakini pia unaandika UONGO; pitia andiko hilo la mwananchi; 2015 TZS klishuka sana. Why Tanzanian shilling holds strong amidst election jitters Hii assumption haiwezi kuondoka.. itvis an economic assumption.
  9. S

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    Mzee sasa unabishana na principle underlying assumption ya Uchumi kwenye swala la Currency stability vs Election???? Hauko serious. Narudia nadharia ndiyo hiyo, ikifanya vizuri maana yake factors zingine ziko stable sana ku nulfy madhara Na usinilishe maneno; sijasema kuhusu 2010, 2015 na 2020...
  10. S

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    Uchumi unaendeshwa kwa assumptions; underlying assumption ni kuwa kipindi cha uchaguzi local currencies huwa hazifanyi vizuri against USD kwa sababu mbalimbali ikiwemo investors kusikilizia. Kufanya vizuri hakumaanishi hiyo assumption inaondoka.... Kwa uchaguzi huu ambao una speculations na...
  11. S

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    Sahihi kabisa; kipindi cha uchaguzi ilitarajiwa USD ingekuw juu sana; lakini TZS imefanya vizuri...
  12. S

    Wanaobisha kuwa wahuni hawaja print pesa, tazama hapa

    Inflation???? No way: hakuna kiashiria cha inflation kuwa beyond 5% ambayo ndio maximum target limit. Kwa sasa tuko kwenye around 3% na point chache hivi...
  13. S

    Dr. Mwigulu Nchemba, jitokeze utuambie ni kwanini Tanzania imerudishwa kwenye kundi la nchi zenye uchumi duni?

    Imerudishwa??? Ni lini iliwahi kuondoka kwenye Nchi masikini?
  14. S

    Ufisadi unavyopangwa na Wizara wakati wa bajeti. Hii BYD nani dealer hapa nchini??

    Huwa sipendi sana watu wanao- argu bila kuzingatia context. Inafanya kukosa mantiki. Hili sio professional group kwamba kila kitu kitakuja na actual data.. lakini kwa context public transport dunian ina run cost effectively kwa kutumia nishati mbadala tofauti na mafuta. Na tumeona Tanzania...
  15. S

    Kwa utiifu au kwa uoga mikoa hii ipewe tuzo ya kuwa wanynyekevu, ni nadra sana kusikia maandamano au harakati za upinzani

    Maandamano ya maana yasipofanyika Dar; CCM watakuwa wamewin hii battle..
Back
Top Bottom