USD itakuwa na fluctuations pia: kuna unacertainities nyingi sana kwenye global trade, impact ya vita zinazoendea pia kutokutabitika kwa Trump na sera zake. Usitegemee USD itaappreceate tu consinstently...
Kuhusu dhahabu - Bei ya dhahabu sasa imepanda sokoni, pamoja na exports za bidhaa zingine...
No. kwenye Uchumi hauwezi kurun variables zote parallel kama unavyotaka utegemee conclusion yenye Tija. Assumption yangu ilijikita kwenye election vs currency stability nikadraw conclusion. Unaweza kufanya pia assumption yako then tukakubalina kutokubaliana tunasonga mbele.
Ndiyo maana nakuambia mzee ulianza mapema sana kuniita muongo. Hata hizi data ulizoweka zinaonesha 2015 - USD 1 Jan ilikuwa sa na TZS 1700 - October ilikuwa sawa na TZS 2200... fanya analysis ya Data mkuu. Usiwe mwepesi sana kushambulia watu. Kushambulina sio moango wa wasomi waliostaarabika...
Lakini pia unaandika UONGO; pitia andiko hilo la mwananchi; 2015 TZS klishuka sana.
Why Tanzanian shilling holds strong amidst election jitters
Hii assumption haiwezi kuondoka.. itvis an economic assumption.
Mzee sasa unabishana na principle underlying assumption ya Uchumi kwenye swala la Currency stability vs Election???? Hauko serious. Narudia nadharia ndiyo hiyo, ikifanya vizuri maana yake factors zingine ziko stable sana ku nulfy madhara
Na usinilishe maneno; sijasema kuhusu 2010, 2015 na 2020...
Uchumi unaendeshwa kwa assumptions; underlying assumption ni kuwa kipindi cha uchaguzi local currencies huwa hazifanyi vizuri against USD kwa sababu mbalimbali ikiwemo investors kusikilizia. Kufanya vizuri hakumaanishi hiyo assumption inaondoka....
Kwa uchaguzi huu ambao una speculations na...
Inflation???? No way: hakuna kiashiria cha inflation kuwa beyond 5% ambayo ndio maximum target limit. Kwa sasa tuko kwenye around 3% na point chache hivi...
Huwa sipendi sana watu wanao- argu bila kuzingatia context. Inafanya kukosa mantiki. Hili sio professional group kwamba kila kitu kitakuja na actual data.. lakini kwa context public transport dunian ina run cost effectively kwa kutumia nishati mbadala tofauti na mafuta. Na tumeona Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.