Lakini Mbowe aliwahi kiyasema haya yote kipindi cha uchaguzi na akashambuliwa sana, licha ya mapungufu yake.
Party politics za Africa zinahitaji Mtu mmoja mwenye nguvu sana na anayeweza kucontrol makundi yote. Raila aliweza hilo na alikuwa kingmaker akitaka maridhiano yanatokea akitaka kuingia...
Hiyo inaweza kuwa mikese huko;
Lakini siyo Dar es Salaam tena saa moja asubuhi tena maeneo ya mwenge. Dkt aseme ukweli pengine alianza zile swaga za unajua mie nani? Polisi kakaza, daktari kaleta ujuaji
Huu ni ukweli Mchungu - na hasa kwa Dsm tena asubuhi polisi huwa wanavuta sana na mara nyingi huwa hawana time na watu; na akikukamata option ya kwanza ni kukuandikia - mtu akiona elfu thelathin kubwa na anajua ana kosa ndio anatoa rushwa.
Njia pekee ya kumsaidia daktari huyu ni kumwambia...
Kwa Dsm, uzoefu unasema askari huwa hawaombi rushwa kwa watu wenye magari ya private ila private cars ndio huwa wanarubuni askari na rushwa wakikutwa na makosa.
Mie mara zote ambazo nimekamatwa Dsm kwa makosa mbalimbali ya barabarani, ukiombwa leseni na unajua una kosa ukakaa zako kimya...
Mkuu hata ulaya na Marekani kupigana na polisi akiwa anatekekeza majukumu ni suicide. Ndiyo maana ni nadra matukio hayo kutokea. Tena akiwa na silaha inawarranty shoot to kill. Juzi kuna moja la Marekani - Trump aliwatetea mapolisi baada ya kuua.
Napata shida sana watu wanaomuunga mkono bwana daktari. Huyu jamaa kesho watsikia kapiga mkewe halafu hao hao watakuja hapa kumtetea mwanamke. Huyu daktari ni mshamba tu - hakuwa na justification yeyote ya kumpiga polisi.
Unaona ushanitukana mie sasa Mkuu? Deal na hoja ndio maturity.
Changamoto kwenye Nchi yetu tuna wapigania haki kama wewe ambao wanaunga mkono ufedhuli wanaofanyiwa watu wasiowapenda kisa umefanywa kwa wasiowapenda. Kisa unadhani daktari kwako ni mtu bora uko tayari ambamize askari kisa askari...
Iko wazi;
Kama kapigwa na wananchi ni jinai, kama kapigwa na polisi ni jinai.
Muhimu kwenye jinai yake ya kwanza - alipaswa kuwa na busara na aoneshe kielelezo cha usomi wake. Lakini hakufanya hivyo na kama kaweza kupiga askari barabarani kwa kutumia logical thinking anaweza kupiga mke...
Mada ni tetesi - tunakosa ushahidi wa kutosha kuijadili kama mada. Ndio maana ukifuatilia wachangiaji wengi wamejadiki chimbuko mkuu
Adhabu haiwezi kujitenga na chimbuko.. kama kosa lingekuwa handled prudently tusingekuwa na the aftermath 'ambayo hata hivyo ni tetesi' kwani taarifa ya polisi...
Hoja ya kupigwa na wananchi au kutokupigwa ni hoja nyingine kabisa.
Mie nimeongelea chimbuko la tatizo. Kila tatizo liongelewe kivyake. Nililoliona mimi ni hilo la daktari akiwa kamkalia polisi aliye kwenye mazingira ya kazi yake. Si ustaarabu na hakuna usomi utakaojustfy hiyo... the aftermath...
Hivi ni kweli kuwa kila kosa la barabarani adhabu yake ni kuandikiwa faini tu? Shida Dr. alileta ujuaji na kiburi kwenye fani za watu wengine. Si angesikiliza elimu maisha yakaendelea?
Kumtetea ni ngumu sana. Iko siku tutasikia daktari kapigwa na ndugu wa mgonjwa akiwa kwenye chumba cha...
USD itakuwa na fluctuations pia: kuna unacertainities nyingi sana kwenye global trade, impact ya vita zinazoendea pia kutokutabitika kwa Trump na sera zake. Usitegemee USD itaappreceate tu consinstently...
Kuhusu dhahabu - Bei ya dhahabu sasa imepanda sokoni, pamoja na exports za bidhaa zingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.