Zanzibar Kuna mahakama kuu kwanini kosa lifanyike Zanzibar kesi iletwe Tanganyika, huu ni uonevu kwa kuwa walijua wakiwashitaki Zanzibar watapata dhamana kwa kuwa Zanzibar kesi zote zina dhamana, huyo unayesema alikuwa Rais muislam ni muislam jina alikuwa anaongozwa na mfumo Katoliki
Unasema wanyongwe wewe unao ushahidi wa kuwatia hatiani, DPP ameshindwa kwa miaka minne kukamilisha ushahidi, kama unao huo ushahidi mpeleke, sio kuleta ujinga kuwaonea watu kisa Dini yao, kosa gani lisilothibitishwa
Huu ni tofauti na huo unaosema biashara hii hapa Dar kama ujabahatika kukutana na magari yamebeba matank ya maji basi tembelea maeneo ya mbezi, kimara, kibamba, mbezi salasala utakutana nayo, huu sio mradi wa kusambaza mabomba bali unasambaza maji kwa kutumia gari kwenye maeneo yenye shida ya...
Naomba kuwashirikisha hii fursa, kwangu nina kisima kirefu chenye maji mazuri sana yaani yamepoa hayana test ya chumvi kabisa. Nimeona kuna fursa kubwa kwenye biashara ya kuuza maji, kama yupo mtu mwenye uwezo wa kuwekeza kwenye biashara hii naomba aje inbox.
Nini kinaitajika:
1.Kujengea mnara...
Wote wezi tu , kwani Tilioni na bilioni hipi kubwa , huyu deal moja kapiga tillioni 1.5 na JK ndio hizo billioni 700. Muhimu ni hili kundi la wezi wa CCM kuondoka tuanze upya kamwe msitegemee kupata bikra kwenye wodi ya wazazi.
Nitaamini kuwa amerudi kwenye msitari kama atakubali bunge liunde tume ya bunge kuchunguza tuhuma za kupotea na mauaji ya watu kibiti na sehemu nyingine nchini
Hilo ndio tatizo ninaloliona hoja zote zinajibiwa kwa matusi au kuwaambia watu ni CCM baadala ya kujibu hoja za msingi. Kama waraka wa zitto umeonekana tatizo sijui kama kuna mwingine atanyanyuka kugombea u-mbowe mpk atakapochoka mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.