Tuondolee roho mbaya hapa.....angekuwa ametoa mashudu kwenye maelezo yake huko polisi....bila shaka, angewahishwa mahakamani ili kesi isikilizwe na afungwe jela haraka sana............
Imetrend sana twitter....hapa JF ma-greatthinker hawamthamini mwana JF mwenzao na mtetezi wao!.....hatahivyo, issue za kulazwa rumande huwa hazi-trend kama watu kutekwa...........
Una uhakika gani hajatoa ushahidi wa alichoongea!, kama hana ushahidi si ndiyo mumuwahishe mahakamani na mumfunge jela. Analala polisi siku zote hizo ili iweje?
Nimefuatilia mjadala wa uchumi leo. Hakukuwa na ushangiliaji kutoka kwa wasikilizaji. Bali waliotoa mada na kuchangia waliegemea kusifu badala ya kuchambua na kutoa ushauri fasaha (hatahivyo, profs Mukandala and Shivji na Padri Katima walifanya uchambuzi kiasi chake)...Mara baada ya mdahalo...
Mkuu Britannica, nimekusoma tangu jana. BM4P imekupanikisha sana tu. Umeanzisha thread kadhaa kuhusu hili. Unaficha panic yako kwenye vitisho!. Cheers.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.