Recent content by slip way

  1. slip way

    JamiiForums Tanzania Polepole: Harakati za kampeni za rais Samia zinaratibiwa na Abdul badala ya CCM

    Tuanze na wewe doctor 💊
  2. slip way

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Huyu nae ni miongoni mwa kundi la wanamtandao hatari

    Wewe fala kweli huko umesahau kuwa umeandika sembuse Rais huyo jk alikuwa nani
  3. slip way

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2016-2017, Lissu bila kujua alitumika na “CCM mtandao” kumhujumu Magufuli

    Hatua za serikali hazikuwa makini bali ziliweza kuonekana kama miscalculation ya kisiasa. Ziliharibu taswira ya Tanzania kwa wawekezaji zikapunguza uwekezaji mpya na mwisho wa siku Barrick akaingia si kama compromise ya ushindi wa Tanzania bali kama rescue ya uwekezaji uliokuwa umevurugika...
  4. slip way

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2016-2017, Lissu bila kujua alitumika na “CCM mtandao” kumhujumu Magufuli

    Utaratibu uliopaswa kutumika ni Kutuma Notice of Renegotiation rasmi kwa mujibu wa mkataba, Pili Kufanya Joint Review Committee Serikali na Kampuni na tatu Kutumia independent valuers na auditors kuthibitisha hasara au utajiri uliopotea.na mwisho kama Endapo hakuna makubaliano ilitakiwa kwenda...
  5. slip way

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2016-2017, Lissu bila kujua alitumika na “CCM mtandao” kumhujumu Magufuli

    mikataba ya rasilimali haina jina tu bali ina structure and elements Hata hivyo kusema kwamba Lissu hajawahi kugusa kabisa muundo wa mikataba si sahihi Katika mijadala yake bungeni na kwenye maandiko yake hasa akiwa Waziri wa Nishati kivuli mara nyingi amekuwa akirejea tofauti kati ya production...
  6. slip way

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2016-2017, Lissu bila kujua alitumika na “CCM mtandao” kumhujumu Magufuli

    Magufuli alipiga marufuku export ya makontena ya dhahabu, akaweka misururu ya kodi, na kuforce renegotiation. Lakini kisheria, hizi hatua zilitafsiriwa kimataifa kama regulatory interference kitu ambacho Lissu alikuwa akionya mapema. Kwa hiyo hoja kwamba “Magufuli alipata win ni ya kisiasa, sio...
  7. slip way

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2016-2017, Lissu bila kujua alitumika na “CCM mtandao” kumhujumu Magufuli

    Wewe na hilo bichwa lako la kisenge lina faida gani
  8. slip way

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2016-2017, Lissu bila kujua alitumika na “CCM mtandao” kumhujumu Magufuli

    Wewe mashavu Ndo unajua au sio
  9. slip way

    JamiiForums Tanzania Mawaya ya CCM+NIDA+INEC yameunganishwa na bado wanasombwa

    Aisee
  10. slip way

    JamiiForums Tanzania Kiwanda cha Safari beer 🍺 mbona kama mnatubania wateja?

    Hornet Leta ugoro huo tukaripuke
  11. slip way

    JamiiForums Tanzania Jose Chameleone asikitishwa na mke wake kudai talaka na mgawanyo wa mali

    anafulia anakuwa limalaya
  12. slip way

    JamiiForums Tanzania Anayoyaongea Polepole ni kwa maslahi ya nani na kwa nini?

    Hutaki wewe acha kutujumuisha
Back
Top Bottom