tulipofika ni pabaya sana jamani,kupata kazi sehemu kama hizi kwa mtu wa kawaida tu lazima utoe rushwa tena ya maana.otherwise uwe mtoto wa fulani kwa sababu ya wizi kama huo,nchi inanuka kila kona hakuna unafuu idara zote duh sijui kama tutafika kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.