Recent content by slamecktz09

  1. slamecktz09

    Dr. Slaa kuzungumza na Vyombo vya Habari, Serena Hotel - Septemba 1, 2015

    Kile kimya kirefu cha Dr. W. P. Slaa kilichokuwa kinasubiriwa kuvunjwa na yeye mwenyewe pale Serena leo tarehe 01-09-2015 mwenye habari yoyote na maelezo ya Dr. atujuze,
  2. slamecktz09

    Tanzia: Sheikh Omary Alhad wa msikiti wa Kichangani Magomeni, afariki dunia

    Kwa fadhila za mwezi huu mkutuku wa Ramadhani na fadhila zilizomo ndani ya masiku haya kumi la mwisho wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani tunakuomba mwenyezi Mungu uwanusuru Mashekh wetu wote waliotangulia mbele ya Haki wape wepesi katika makaburi yao na siku ya mwisho uwaongoze katika njia iliyooka...
  3. slamecktz09

    Tanzia: Sheikh Omary Alhad wa msikiti wa Kichangani Magomeni, afariki dunia

    Siku zote tutamkumbuka saaana Shekh Omary hasa kwa wale tunaoswali katika msikiti mkubwa wa Maggomeni Kichangani tunamuomba mwenyezi Mungu awanusuru mashekh wetu wote waliotangulia mbele ya Haki awaepushe na adhabu ya kaburi, awaepushe na adhabu kali hiyo siku ya mwisho ya kiyama, Waislamu siku...
  4. slamecktz09

    Ushahidi Watz tuna IQ Ndogo!

    Ujumbe wako ni wa kweli kabisa na hauwezi kupungunga wabunge wetu huchukua siku nzima kujadili kitu kama hicho ni aibu sana mi hufikiri huenda wakipeleka muda ili siku iishe wasaini posho basi maana kiakili haiji kabisa.
  5. slamecktz09

    Mdahalo wa wazi kati ya Dr. Slaa Vs Dr. Kitila mkumbo

    Mdahalo huu ni wa muhimu sana ila mi napendekeza zaidi upande wa chama cha Chadema awepo Dr. Slaa na Mnyika halafu upande wa pili awepo Mh Zitto na Dr. Kitila watanzania tutasiikia mengi sana yalipo ndani ya hawa watu.
  6. slamecktz09

    Ni kweli vyama vya siasa vitatufikisha watanzania tunapotaka kufika.

    Kutokana na kinachoendelea leo hii katika chama cha upinzani CHADEMA chama ambacho kinapendwa na zaidi ya vijana asilimia 85% hata Tanzania leo hii inakatisha tama ya kuendelea kuwa mwanachama wa chama hiki cha CHADEMA. Ukisoma kwa umakini makala mbali mbali yanayoandikwa na aliyekuwa kiongozi...
  7. slamecktz09

    Mtei: Zitto Hahitajiki ndani ya CHADEMA, Uamuzi wa Kamati Kuu ni wa Mwisho!

    Mi binafsi nafikiri sasa ni wakati mzuri kabisa wa viongozi wetu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kukutana na kukaa chini kwa pamoja na kuondoa tofauti iliyopo basi ndo jambo la msingi kuliko haya malumbano yanayoendelea ya kila kiongozi kutaka kuonekana yeye ni bora au nimuelewa...
Back
Top Bottom