Simba SC ni timu ambayo imeshajijengea jina kubwa barani Afrika hivyo ukubwa huo unatakiwa kuonekana kwenye kila mashindano inayoshiriki.
Kuna wachezaji ambao hawasitahili kuanza kwenye first eleven ya mwalimu, baadhi ya wanyezaji hao ni;
Balua,
Shomari Kapombe: ( amekuwa uchochoro wa adui...
Huyo mwamakula hana haki ya mchezo mzima wa masumbwi, kama ni haki ya jina azam wanaweza kutumia jina lingine na mchezo wa masumbwi ukaendelea kuoneshwa. Labda iwe ni suala la udini wa mmiliki.
Acha unafiki basi, unawezaje kusema Tanganyika ilikufa angali Zanzibar bado ipo na inajitambulisha kwa utaifa wake. Yaani Zanzibar iliyoungana na Tanganyika kuipata Tanzania iwepo ila Tanganyika useme imekufa.
Labda kama umekufa wewe, sawa.
Kwa kuwa wenzetu Zanzibari wameamua kuwa na kila kitu chao kinachowatambulisha kama taifa nadhani na sisi watanganyika ni muda wa kuanza kufufua matumaini ya kuwa na utambulisho wetu kama taifa.
Bendera tunayo;
Wimbo wa taifa la Tanganyika;
Nchi yangu nzuri Tanganyika,
Amani, Upendo...
Kutoa chama dola madarakani ni mapambano yasiyo ya kitoto. Mbowe akae pembeni Tundu Lissu na John Mnyika pamoja na John Heche waingie mzigoni. Watapita kama wale marais wa Senegal.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.