Ndo mimi hamuwez kunibadulisha na fikra zangu kama nimewachafua kaleni ndimu mxieeeew............mnajioma mpo sana perfect kwa kuishi maisha ya digital hamna hata aibu na wala hamniumizi kitu ninachosisitizia kama kuna mtu nimemchefua sana na anajiona yupo perfect more than me kwa chochte...
Mimi nakushauri usimuoe kwanza kama unampenda kwa dhati kaanae chini umueleze maisha yalivyo na changamoto zake alafu atafute kazi yoyote ya kujishikilia atleast mwaka mmoja arudi shule akasome hata short course ili apate ajira nyingine professional na nzuri ili hata ukija kuishi nae mtakuwa...
Huwa nashangaa sana kuona msichana tena mkristo kama huyu anakaa nakuchukua Simu yake na kuandika eti anatafuta mume lol!! Kweli hofu ya Mungu imetoweka na tumemsahau sana Mungu kumuona kwamba yeye hawezi kutusaidia kitu chochote, kwamaana kama we we in mkristo kweli ungepiga magoti na kumuomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.