Mkuu labda uwe unanufaika na mfumo wa CCM ila kwa sisi wananchi wa kawaida tunajua umuhimu wa kuwa na na upinzani
Siku kikibaki Chama kimoja ata nyie CCM Mtatamani kuandamana unless uwe miongoni mwa wanufaika wa mfumo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.