Recent content by SJUMAA26

  1. S

    Nahitaji Safety Shoes/Boots Haraka!

    Wadau, Kama kuna mtu yeyote anayeuza genuine safety gears hasa viatu naomba ani-pm haraka!
  2. S

    Mgombea wa ACT Wazalendo Bariadi, aliyetoweka apatikana

    Acheni kick zisizokuwa na kichwa wala miguu, Baneni ndio mtaa gani huko Bariadi? Mnadhani humu wote ni vilaza kama nyie Wahuni na Wasaliti wa Mabadiliko?!
  3. S

    Mrejesho: Alinipa penzi nimwingize kazini, sasa ananitishia

    Hii ungepeleka kwenye gazeti la Ijumaa Wikienda ungeuza sana!
  4. S

    Mgombea Ubunge wa CCM Kanda ya Ziwa kupokelewa UKAWA ijumaa

    Una umri gani wewe? Hivi ulishawahi kuiona, achilia mbali kuisoma, Katiba ya JMT?!
  5. S

    Natafuta mchumba

    Afadhali umenisaidia kumuelimisha huyo "materialistic partner"
  6. S

    Natafuta mchumba

    Mbona hufiki? Au umekumbwa na foleni?
  7. S

    Natafuta rafiki

    Mawazo yamekuzidia? Kama ni kubadilishana mawazo hebu niambie mimi ni mawazo gani hayo yaliyokulemea name nikuambie ya kwangu halafu tuone namna gani tunaweza kubadilishana hayo mawazo yetu huenda tukapata nafuu!
  8. S

    Natafuta mchumba

    Karibu!
  9. S

    Natafuta mchumba

    Anzisha uzi wako mkuu, hapa umekosea njia!
  10. S

    Natafuta mchumba

    Mwambie siku akiwa tayari kuwa na mtoto akutafute muendelee....
  11. S

    Natafuta mchumba

    Usijali kiongozi
  12. S

    Natafuta mchumba

    Hata wewe pia unakaribishwa!
Back
Top Bottom