Acheni kick zisizokuwa na kichwa wala miguu, Baneni ndio mtaa gani huko Bariadi? Mnadhani humu wote ni vilaza kama nyie Wahuni na Wasaliti wa Mabadiliko?!
Mawazo yamekuzidia? Kama ni kubadilishana mawazo hebu niambie mimi ni mawazo gani hayo yaliyokulemea name nikuambie ya kwangu halafu tuone namna gani tunaweza kubadilishana hayo mawazo yetu huenda tukapata nafuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.