Kuna mda napita road na wish hata mtu anisukumize kwenye barabara nikanyagwe na gari nife
Ama nikipita Darajani atokee mtu anisukume nianguke chini ya daraja nife
At this point sion umuhimu wowote wa kuendelea kubaki hai ikiwa kila nachogusa kinafeli
I don't wish to see 2023 hope this one will...
Nmekuelewa mkuu ila ukisoma vizuri hapo utaona kua hilo tukio lilitokea mwaka jana, mwaka juzi kwa maana ya 2019 October ndo niliweka 90% ya hela yangu yote kwasabab nilikua nmeshakaa kule sana hvyo nilijua mzunguko wake
Mwaka Jana mwez wa 1 ndo nikarudi tz nta attach picha ya muhuri wa custom...
Shukran sana mkuu binafs jamii forum naiheshim sana humu napataga nondo nyingi sana hata wazo langu la kutoka nje ya tz nilipata huku pia nikalifanyia kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.