kwa nini serikali haitatui matatizo ya watu hadi wagome?huu ni udhaifu wanatakiwa viongozi wote wajiuzulu au wabinafsishe vyeo vyao kama wanavyofanya katika mashirika ya umma uongozi umewashinda
Hellow JF,
nimefurahi leo kujiunga nanyi, its my hope that tutaelekezana, mm bado wakuja, sielewei hata nifanyeje, yaani nabonyeza bonyeza tu hata sielewi.
Nawapenda wana JF.
All the best
with regards
sym
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.