Wanawake wanaowalea watoto peke yao (Single mothers) wanatakiwa kupata msaada wa tiba ya akili na ushauri nasaha haraka iwezekanavyo pale anapoonyesha dalili za kukata tamaa ya maisha.
Maana mwisho wake maamuzi huwa ni ya ajabu sana na kusikitisha.
Haya matukio ya ukatili wa kina mama kwa...
Ni dhahiri ninajibishana na Kamanda. Utakapostahmili kujenga HOJA bila kutumia kejeli, matusi, jazba na mengineyo nijulishe ili tuendelee na huu mjadala kamanda.
Ukiweka ushahidi wa hayo uliyoandika itapendeza zaidi. Mimi niliyokueleza yako wazi kwenye Public records.
Je hizi shutuma zako tunazipata wapi kwa uthibitisho zaidi kamanda!!???
Msukuma na Lema ni level moja kwa Cheo na upayukaji. Hapo ngoma ni suluhu hakuna mshindi.
Msukuma ameeleza mtazamo wake kwa upeo wake na Lema ajibu kwa mtazamo wake.
Vyombo vya Dola vina majukumu mazito zaidi ya hili suala husika.
Mngezia kwenye Chama chenu kwanza kuweka sawa; a.) Katiba Mpya ili kuweka ukomo wa Mwenyekiti wa Chama (Taifa). b.) Muwe na Tume Huru ndani ya Chadema ili kuepuka kuteua MAHAWARA na madada wa viongozi wa Chama kwenye nafasi za Ubunge (Viti maalum). (c.) Chadema kabla haijapinga UDIKTETA nje ya...
Hizi ndio akili za "Think tank" wa Chadema!!!!!!!
Kuna safari ndefu sana kwa kweli.
That being said, unamaanisha ya kwamba CCM nayo Itaendelea kuwa Chama tawala mpaka hapo watakapoona vinginevyo!
Tuliza saburi dawa ikuingie kamanda..
Ndio uwezo wao wa kufikiri na kuchanganua mambo ulipoishia hapo mkuu. Wao wako vizuri sana kwenye Matusi, kejeli na Uchochezi uchwara. Bila kusahau kufuja hela ya walipa Kodi (RUZUKU) kwa matumizi yao binafsi. Pia kuteua nafasi za Viti maalum (Ubunge) kwa mahawara zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.