Recent content by Sixtus Mapunda

  1. Sixtus Mapunda

    JamiiForums Tanzania MSUKUMA: Maprofesa wawatafutie wahitimu wote ajira

    D
  2. Sixtus Mapunda

    JamiiForums Tanzania Tamko la UVCCM Mkoa wa Geita kupinga kusimamishwa ziara za Mwigulu

    Ili kuweka kumbukumbu sahihi mtoa hoja amedanganya na hii habari nibya uzushi. Katibu wa UVCCM Mkoa wa Geita siyo Mabia
  3. Sixtus Mapunda

    JamiiForums Tanzania Leo katika historia

    Kwa wale wanaotaka kujua uhai wa Jumuiya yetu ya Vijana kuwa upo hai au umekufa, ukweli ni kwamba UVCCM ipo hai ina nguvu nainaendelea vizuri kutekeleza majukumu yake ya kikanuni na kikatiba ingawa changamoto katika taasisi yeyote ni jambo la kawaida kutokea.
  4. Sixtus Mapunda

    JamiiForums Tanzania Leo katika historia

    Wadau samahani kidogo nilibanwa na majukumu hivyo ikasababisha nijelewe kurespond baadhi ya hoja zenu kwa kifupi Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alichaguliwa kuwa Rais wa TAA mwaka 1954. Chini ya uongozi mpya, Katiba ya TAA ilionekana kwamba isingeweza kukidhi malengo ya kisiasa. Mwalimu...
  5. Sixtus Mapunda

    JamiiForums Tanzania Leo katika historia

    Tarehe kama ya leo mwaka 1954 TANU ilizaliwa. Mkutano wa uzinduzi wa TANU ulihudhuriwa na kikundi kidogo cha takriban watu 20 miongoni mwao Julius Nyerere, Abdulwahid na Ally Sykes, Dossa Aziz, John Rupia, Mshume Kiyate, Makisi Mbwana, Jumbe Tambaza, Juma Waziri, Clement Mtamila, Rajabu Diwani...
  6. Sixtus Mapunda

    JamiiForums Tanzania Kilichojiri Bungeni 20/02/2014: Kuna tetesi ya uwepo wa rasimu ya Katiba mbadala!

    Nipo Dodoma kufanya kazi kubwa na ya muhimu kwa mustakabali wa taifa letu tukufu. Kazi ya kutengeneza katiba ambayo kama ikipitishwa na wananchi, basi ndio itakuwa katiba mpya ya Tanzania. Ni kazi ya siku 70, zikizidi sana ni siku 90. Ni siku zitakazobadilisha kabisa maisha yangu, kwani...
Back
Top Bottom