Recent content by sixlove

  1. sixlove

    KIUT

    Habari wakuu. Samahani naomba ushauri, nahitaji kuendeleza career yangu katika MpH. Je KIUT ni sehemu sahihi ya kuweza kupata elimu iliyo bora na inayotambulika. Asante
  2. sixlove

    ONLINE APTITUDE TEST LINK

    Habari naomba links za kufanya aptitude test online, kwa ajili ya mazoezi. Kada ni Environmental studies. Asante
  3. sixlove

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nimeona kwenye muongozo wametaja siku 14 kuripoti kazini
  4. sixlove

    Mfumo wa usaili Utumishi

    Habari wanajamvi, naomba kuuliza mfumo unaotumika kwa sasa kwenye usaili (written interview) utumishi. Je ni Online Amptitude Test. Au ni ule ule wa mitihani ya kuandika darasani. Kada ya mazingira naomba tupeane areas of Concentration. Maana sisi wengine ni gradutes a decade ago. Asante
  5. sixlove

    Operator course or OSHA course

    Asante kwa ushauri mkuu. Nimeshafatilia pia kuhusu operator courses VETA shinyanga, ambako ndio nimeambiwa pia wana mitambo ya kutosha. As well as Kunduchi pia wanafundisha though kwenyewe nimeambiwa vifaa vyao ni vya kawaida compared na Shinyanga.
  6. sixlove

    Operator course or OSHA course

    Asante sana
  7. sixlove

    Operator course or OSHA course

    Asante sana mkuu.
  8. sixlove

    Operator course or OSHA course

    Nahisi pia itakuja kuongezeka mwezi wa saba,,sasa hivi ni 820k. Na kalenda yao ya mafunzo inaishia mwezi wa sita mwaka huu. Soon inagonga 1M
  9. sixlove

    Operator course or OSHA course

    Asante pia
  10. sixlove

    Operator course or OSHA course

    Asante sana. Nashukuru kwa ushauri wako
  11. sixlove

    Operator course or OSHA course

    Habari wadau, poleni na majukumu yenu. Samahani naomba mnishauri katika jambo lifuatalo. Mimi ni graduate katika fani fani ya Mazingira. Nimeshasota sana mtaani pasipo kuwa na kibarua au ajira kwa muda mrefu. Hali ambayo imenifanya kuwa oudated sana katika ushindani wa soko la ajira. Hivyo ili...
  12. sixlove

    Makadirio ya tofali za uzio

    Ni kweli,,ila nilikuwa namaanisha uzio uwe mrefu ambao ukiwa kwa nje utaona paa lilipoanzia tu kwenda juu. Asante
  13. sixlove

    Makadirio ya tofali za uzio

    Asante sana,,nimepata somo zuri sana. Lengo langu ni kujenga uzio ambao ukiwa kwa nje utaona paa lilipoanzia tu. Mzunguko wa hewa upo wa kutosha. Maana lengo langu kubwa ni ufugaji kwenye hilo eneo. Ubarikiwe ndugu
  14. sixlove

    Makadirio ya tofali za uzio

    54 ×45. Asante
  15. sixlove

    Makadirio ya tofali za uzio

    Habari wanajamvi. Samahani nina kiwanja kina ukubwa wa 2430 square meter. Nataka nijenge uzio ambao ni standard, namaanisha uwe na urefu toshelezi. Msingi una urefu wa futi mbili kutoka ulipochomoza kwenye ardhi. Je, yatahitajika matofali mangapi ya inch 5 kukamilisha ujenzi wote wa fence...
Back
Top Bottom