Recent content by sixdenis

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    Shikamoo Babu Kingunge!!! marahaba Mabadiliko Anastahili kuitwa Babu wa Taifa, ni kutokana na uzalendo ndani ya Taifa hili dhidi ya Mchwa wanaolitafuna Taifa kwa uroho wa kupindukia wasio na huruma kwa watu masikini. Babu yetu amewaambia CCM watakuwa wapinzani na hilo hakuna mjadala...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Hili ndilo linalompaisha Lowassa kuliko Magufuli

    Magufuli atachaguliwa kijijini kwako labda na bibi yako na babu yako Kwa hali ilivyo vijiji vyote wanamfahamu Lowassa usiwe mbishi kama tete na upepo huyu Lowassa ni balaa anafahamika vilivyo kama unabisha ni kwa sababu tu Umekula yamini ya Lumumba na itakutesa sana mkuu Tunapiga kampeni mjini...
  3. S

    JamiiForums Tanzania CCM Jimbo la Mwanga: Mwigulu Nchemba apanda chopa bila mafanikio

    Picha nitaleta mkuu ila nasikitika kodi zetu zinavyoangamizwa na hawa mchwa Hivi hakuna kipengele kinachosema mtu ambaye hahitajiki jimboni kwake asiruhusiwe kupiga kampeni? Kwa nn basi ccm mchwa hawalionei huruma taifa hili? Kweli watanzania tuendelee kufumba macho na kuwa wazalendo kwa...
  4. S

    JamiiForums Tanzania CCM Jimbo la Mwanga: Mwigulu Nchemba apanda chopa bila mafanikio

    Katika kile kinachoitwa saidia gamba mwenzako hapa imekuwa tofauti na falsafa hiyo. Baada ya kujiridhisha pasipo na shaka kuwa mambo yamekuwa magumu kwa mbunge wa jimbo la Mwanga kwa tiketi ya CCM,wafujaji wa rasilimali za nchi bila ya huruma wakateketeza mafuta na kuvamia maeneo ya Ugweno...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya UKAWA ndani ya Mabadiliko ni hii hapa; Soma kwa umakini sana

    Kwa wale wa Upande wa pili niwajulishe maana na dhana ya UKAWA UKAWA ni Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa ni mpango wa mungu Ukawa ni chaguo la wengi Ukawa ni vuguvugu la mabadiliko Ukawa ni ukombozi wa watu masikini Ukawa ni mwiba wa ccm Ukawa ni tumaini la watumishi wa umma...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Special thread: Kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA/UKAWA nchi nzima kuelekea 25 Oktoba, 2015

    Tena ukome kumwita Lowassa fisadi wakati mafisadi wote wamebaki kwenye sufuria kuu ccm kama ukoko wa pilau. Nazani hata wewe unafaidika na huko ufisadi Vinginevyo toroka uje kwenye mabadiliko nije ya ccm Chagua Lowassa Chagua Ukawa
  7. S

    JamiiForums Tanzania Special thread: Kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA/UKAWA nchi nzima kuelekea 25 Oktoba, 2015

    tunaso nyingi sana ikiwa pamoja na hii
  8. S

    JamiiForums Tanzania Special thread: Kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA/UKAWA nchi nzima kuelekea 25 Oktoba, 2015

    Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa. ni maandalizi ya kumpokea mgombea urais kupitia CHADEMA, ndugu, mheshimiwa,his excellence, Edward Ngoyai Lowassa hapo tarehe 6/10/2015! Watu wanamsubiri kwa hamu tofauti na wagombea wengine waurais,bodaboda,wanamwanga ,wanaccm wapenda mabadiliko ya ukweli nje...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Sumaye asema ya Mkapa nitamjibu mie na Makongoro mwambieni sie tunacheza fobe dunda

    Kikwete hajamuelewa Sumaye kwa sababu ya upeo mdogo aliokuwa nao. Si unajua ana kadegree ka China chuo cha Hua Hayawani katika mji wa Shoga -Chini. Sumaye kasoma Harvard University so uelewa wake ni mkubwa sana
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kama ni kuhusu akina Lowassa na CCM yao, M/kiti Mbowe amesema

    Nani anafaa kwa akili yako?
  11. S

    JamiiForums Tanzania Lowasa jana umetumiwa msg nzito sana! That is how people work!

    Today Mbeya and the people together has made a remarkable event! I salute you all and be blessed for welcoming our future president, His Excellence Lowassa, the only one, the special one and the greatest legend of Tanzania. In Lowassa I believe our country will remain united, thank you mr...
Back
Top Bottom