Recent content by sitaki hela

  1. sitaki hela

    Hongereni baadhi ya viongozi wa dini kwa kusimamia haki

    Niende moja Kwa moja, Kwa pongezi zangu Kwa baadhi ya viongozi wa dini Kwa KUSIMAMIA HAKI hasa kipindi hiki Cha uchaguzi, Mungu awabariki Ila kuna baadhi ya viongozi wa dini wenyewe wanasubiri kuwaibia waumini sadaka zao kwa kuwaongopea njoo na hiki, mara chukua hiki, utapona, hapa nawalenga...
  2. sitaki hela

    Ombi letu kwa serikali kwa wazazi wenye watoto Ubungo NHC primary school

    Kama kichwa kinavyojieleza, Leo mwanangu amenipa taarifa kuwa shule yao,yaan Ubungo Nhc msingi inabadilishwa na kuwa mchepuo wa kingereza Nikapata mshituko kidogo, ikabidi nifanye uchunguzi nikagundua ni kweli, nikajiuliza maswali mbona jambo kama Hilo sisi wazazi hatukushirikishwa? Shule...
  3. sitaki hela

    PreGE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

    Niende Moja Kwa Moja Kwa peter msigwa,najua kuhama chama, ni hiari ya mtu,hamna mtu anayeweza kukulazimisha kuhama chama. Sasa nimefuatilia sana hutuba za peter msigwa imekuwa kero, Kwan yeye hotuba zake zimekuwa za kutukana chama, kumtukana Mbowe, si jambo jema,Kwa nn usjifunze kwa wenzako...
  4. sitaki hela

    Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

    Awali ya yote napenda kuipongeza serikali yetu Kwa kuwa kulifunguia KANISA la KIBOKO ya WACHAWI kwani hata jina tu. Linaonesha mahubir yake hayasadifu neno la Mungu ni uamuzi ambayo umekuja Kwa wakati sahihi, Kwan Kuna msemo unasema Kinga Bora kuliko tiba. Hivyo tujiadhari kabla maafa...
  5. sitaki hela

    KERO Utaratibu wa kufukuzwa Wodini

    Unachosema naunga mkono hoja,umenikumbusha mbali xna,Tena usiombe kiongozi mkubwa wa Nchi aje
  6. sitaki hela

    Peter Msigwa angepata uenyekiti Kanda ya Nyasa angebaki CHADEMA. CCM wasimpe cheo chochote

    Mm binafsi sipendezwi na huyu peter msigwa,hasa baada ya kuhama chama,swala la kuhama chama ni haki yake, siwezi kukataa ila tatizo linakuja swala la kuanza kutoa siri za chama, Wala halipendezi, alitoa sababu za kuhama chama kwamba hakimkutendea haki, ilikuwa imetosha. Angejikita kwenye hoja...
  7. sitaki hela

    PreGE2025 Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani

    Nionavyo mm Kwa kweli nape amempotezea mama kura za mwaka 2025,ningeshauri mh Rais,achukue hatua mapema,sio jambo jema na halina afya Kwa mustakabali wa Taifa letu, Kwa nchi inayofuata misingi ya demokrasia
  8. sitaki hela

    Martin Masese: Serikali imekuchukua mkopo NMB ili kumnunulia mabasi mwekezaji wa Mwendokasi. Mkopo utalipwa na Serikali kwa kodi za umma

    Dah hatar xna kama ni kweli,maana wazungu wanasena no research no right to speak
  9. sitaki hela

    Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi

    Huyo Binti naye anamakosa,kwanza chuoni alienda Kwa ya kusoma c Kwa ajili ya mambo mengine
  10. sitaki hela

    PreGE2025 Sirari: Mabaki ya CCM yaondolewa Rasm mitaani, John Heche aongoza usafi

    John heche ni hatar,Kuna rafki yangu aliwahi sema yeye atahama chadema endapo watu wawili tu watahama,John heche na Tundu lisu
  11. sitaki hela

    TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

    Aliyekuwa mfanyabiashara mkubwa na mwekezaji wa yanga,ndugu yusufu manji amefariki Dunia,
  12. sitaki hela

    LATRA kampuni ya mabasi ya BM inastahihli kufungiwa kwa utapeli

    Mm tulishakubaliana,na walishatupa chetu,axante by mwl bm,😁😁😁😁
Back
Top Bottom