Kwa kweli katika swala la odd syo kwa kampuni za bongo TU kampuni zote hakuna inayofikia odd za mbet tatzo ni option chache hawana over/ under 1.5 ,hawana over/under 3.5 ,corner na option nyingi tu hawana. Ila Kama n mtu unapenda double chance na over/under 2.5 hapo ndo penyewe sasa
Sent using...
Wacheza mpira waliishia Sasa hivi n wafungaji tu ndo wamebaki . Mpira Ni zaidi ya kufunga inatakiwa mbwembwe na manjonjo mashabiki wafurahi . Ronaldino na zidane waliovyo staafu na mpira ukaishia hapo. Hawa wengine sjui mess na ronaldo ni wafungaji syo wachezaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndo huwa nabaki na kigugizi. Sasa uchumba wako ,kupendana na mwenzio kuna uhusiano gani na wazazi? Wazazi waje kwenye send off na harusi hayo mengine ni mapenzi yenu. Hivi mpaka karne hii Kuna wanadamu wanachaguliwa wachumba?
Hayo n maisha yako na mpenzi wako hayatawahusu wazazi. Mbona...
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu Sasa mtafiti nmerudi na betting winning conclusion. Kaeni mkao wa kula kuanzia leo na kuendelea . Tunaanza rasmi Leo staki tamaa tu basi kila kti konawezekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za muda huu wakuu nimekuwa kwenye hili jukwaa kwa muda Sana lakn nilikuwa sifanyi uwekezaji Mara kwa Mara Sasa naanza rasmi Leo na kwa vile na nyie n ndugu zangu Basi naamini siwezi kuwaacha Wala kula chakula mwenyewe. Twendeni pamoja kila sku ntaweka mechi 2 isiyopungua odd 2-3 tuacheni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.