Recent content by Sirm

  1. Sirm

    Watumishi wanasema hongera Mama, Jambo lao la July Wameliona. Watakulipa fadhila Oktoba

    Shukran ya punda Duh kumbe ww mzungu mweusi🤔
  2. Sirm

    Rais Samia aandika ujumbe wa shukurani kwa wana Morogoro, aahidi kurejea tena

    Hongera mama tunakupenda wananchi wako
  3. Sirm

    Nyumba za Waathirika wa Maporomoko ya Hanang zakabidhiwa

    Aisee nyumba ni nzuri mno, Hongera sana mama Samia na wote walioshiriki kufanikisha hili, Yalishawahi kutokea maafacya tetemeko la ardhi na the rest was history
  4. Sirm

    PreGE2025 Morogoro: Rais Samia akumbana na Bendera ya CHADEMA, Ajiegemeza kwenye 4R

    Kwahyo ulitaka azichome moto? Kiukweli hapa inaonesha hutumii akili kufikiri
  5. Sirm

    PreGE2025 Miaka 3 kwenye game, suala la nyomi bado inaonekana shida kwa Rais Samia

    Na siku akijaza utasikia kabeba kwenye malori binaadam kazi aisee!
  6. Sirm

    Kwanini Jeshi la Polisi mnamuacha Mdude Nyagali anamdhalilisha Rais wetu pasipo kumchukulia hatua?

    Uhuru ukizidi ni utumwa, Naamn sasa kuongoza nchi unatakiwa uipende nchi kuliko dini na Sheria zake, Uongozi lazima uwe mkatili kiasi Fulani Ili heshima iwepo
  7. Sirm

    PreGE2025 Wahandisi na Wakandarasi wamnunulia Rais Samia helkopta kwaajili ya Kampeni za Urais 2025 pamoja na mafuta ya Tsh. 100,000,000/-

    Pole ndugu yangu unaongea kwa uchunguz mno lkn binaadamu hatuwez kufanana akili na maamuzi
  8. Sirm

    PreGE2025 Kuanza compaign mapema, ni Ishara ya kukubalika au kutokukubalika?

    Hapana ila kuzunguka na chopa nchi nzima km mbowe
  9. Sirm

    PreGE2025 Kuanza compaign mapema, ni Ishara ya kukubalika au kutokukubalika?

    Binaadam bwana yaan akienda nje ya nchi wanasema anazurura shda za wananchi atazijua vipi? Akiamua kwenda kwa wananchi wanasema ameanza kampeni mapema loh!
  10. Sirm

    Matokeo Kidato cha Sita 2024 yatoka. Ufaulu wapanda kwa asilimia 0.26

    Kuna mdogo wng kapata History C, Kiswahili E na English F vipi anaweza kupata chuo?
  11. Sirm

    Seti Mbili za Treni ya Umeme na vichwa 8 vya Umeme "Samia Express" vyawasili Nchini

    Tunasubr CHADEMA mkifurahi na kupga picha safi ndani ya SAMIA EXPRESS
  12. Sirm

    KERO Upandaji wa madaraja Singida DC viongozi wana janja janja kibao ambazo hazina tija

    Nyinyi angalau mmeshawekewa alama lkn huku mkuu hawez kuweka score maana hatuoni kwenye mfumo
  13. Sirm

    KERO Upandaji wa madaraja Singida DC viongozi wana janja janja kibao ambazo hazina tija

    Rufiji mkuu hadi Leo mwalimu mkuu anahangaika na sisi hatujui tumshtaki au tumvumilie
  14. Sirm

    KERO Upandaji wa madaraja Singida DC viongozi wana janja janja kibao ambazo hazina tija

    Afadhali yenu huku mwalimu mkuu anadai kwenye mfumo yy Kam supervisor walimu wake wote hawaon kwenye mfumo wiki nzma sasa
Back
Top Bottom